Naomba tujadili national housing corporation

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
1,222
764
Mimi najiuliza hivi NHC wanafanyaga detailed feasibility study before embarking into those massive projects?

Tuchukue tu hizi nyumba ambazo wamejenga then wanauza m300!!! mimi hapa swali langu ni nani wame mtarget kunua hizi nyumba? Obvious ni middle class it means ni vijana wa Telecom companies, banks, lawyers etc.

Sasa swali linakuja je kijana kama huyu atatoa m300???? utasema atapewa mkopo je ni bank gani itampa huyu kijana m300 almost dola laki 2. Mishara ina range kutoka 1.5m to 4m bank nyngi zinatoa loan mara 10 ya mshahara ivyo tuki assume kijana analipwa m4 then mshahara mara 10 ni 40m.

Angalizo, ninachokiona NHC mtakuja ku default kwani nanyi hizo pesa mmekopa toka kwenye banks!!! lakini labda mseme tu how far have you archived with the existing projects in Arusha and Dar?? Naamini kabisa hakuna nyumba ambayo so far imenunuliwa.

Nawakilisha
 
Mkuu

Hawa jamaa toka mwanzo wanajua wata default on their loans. That is the plan. Ila wanajua by the time wana default wao watakuwa mamilionea na watakuwa wamehama wanafanya kazi kwengine. Ndio ma CEO wanavyofanya bongo. Kazi za wakurugenzi wa mashirika ya umma ni kuyaua hayo mashirika kwa kuhamishia mali zote za mashirika kwenye familia zao na kuliua shirika. Hivyo ndivyo yalivyofanywa mashirika yote nchini Tanzania toka enzi ya Nyerere.
 
Back
Top Bottom