Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
- Thread starter
- #21
Simu, nguo na viatuUunataka bidhaa gani? nawweza kukusaidiia ukapata kama utaniamini
Simu, nguo na viatuUunataka bidhaa gani? nawweza kukusaidiia ukapata kama utaniamini
Nimependa kitu nanunua kimoja kina grams kadhaa tu kinakaa kwa package ndogo Sana, kinauzwa 5$ hamna njia ya kuki ship kwa Bei ndogo tofauti na 13.5usd
CBM Ni nnKuna mambo mawili hapa,
1.Mzigo unaununua mwenyewe kwa njia unazo zijua,ila unataka kuusafirisha kwenda Tanzania.
Hapa ni unawatumia wauzaji address ya wasafirishaji ambao watatumiwa mzigo wako na kukusafirishia.Kuna kusafirisha kwa meli (siku 30+).Hapa kuna kampuni nyingi zinafanya kama Sikent Ocean,GNM cargo,Mapembelo cargo, etc.Hawa wana kucharge kutokana na size ya mzigo (CBM)
Pia unaweza safirisha kwa ndege (wengi siku 7) Wata kuchaji kwa uzito wa mzigo wako.Na kuna mizigo mingine ambayo bei zake haziko determine kutokana na uzito.Mfano simu/laptop etc.Kuna kampuni nyingi tu zinasafirisha kwa njia hii.
2.Unataka kujua mtu/kampuni inayoweza kukununulia na kukusafirishia kwenda Tanzania.
Hapa wasiliana na watu au kampuni either zinazo safirisha mizigo wakununulie au watu/kampuni wanaosaidia kununua mizigo China.Watakufanyia hivo na watakutumia kulingana na njia uliyo amua kuitumia kama ni ndege au meli.
Maelezo yote yametokana na kuwa ni mdau wa hii kazi.Mwenye nyingeza atakusaidia
Hope umepata idea
CBM Ni nn
Wengi hufanya dola 13 per 1 CBMView attachment 2596806Ni CUBIC METER.Ujazo wa mzigo.Kifupi ni Unazidisha Urefu*Kimo*Upana wa mzigo(measurement ziwe kwenye meter).
Hapana,usafiri wa ndege ndio huwa around Bei hiyo per 1 kg(Sio electronics).Kwa meli 1 CBM inarange 350-450 USD kulingana na ni item gani unasafirisha.kama Spares,shoes,cloth etc.Wengi hufanya dola 13 per 1 CBM
Ooooh nlisahau dola 13 ni kwa kilo kwenye ndege, ila kwa meli ni 350 mostly ila electronics na heavy machines ni 450Hapana,usafiri wa ndege ndio huwa around Bei hiyo per 1 kg(Sio electronics).Kwa meli 1 CBM inarange 350-450 USD kulingana na ni item gani unasafirisha.kama Spares,shoes,cloth etc.
Bila kujaji uzito wake? Ili mradi Ni 1CBM Basi ndo Bei hizoOoooh nlisahau dola 13 ni kwa kilo kwenye ndege, ila kwa meli ni 350 mostly ila electronics na heavy machines ni 450