Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Wapo wengi wanaishi maisha yasiyo yao lakini wanahisi hayo ndio maisha walioandikiwa
sio kweli pengine ukutakiwa kuishi nyumba za kupanga pengine ulitakiwa uwe na biashara 'kubwa lakini
leo hii ujui mambo yaliokufanya uwe hivyo na shida zako unaishia kudai hata mama na baba walikuwa hivi
nao uhujui walisemewa nini...kuna mambo mengi yanachangia kufikia hatima ya maisha yako ya sasa
njoo biafra upate neno la mungu ufunguliwe ufahamu kwa nini uko hivyo
nikupe mfano kuna ukoo kila anaezaliwa mwanaume malaya mwanamke kahaba..sasa wakikua wanakuta baba na mamamzao wamekufa na kaugonjwa haka haka wanajipa moyo bana we hii ndio asili yetu ..sio kweli pengine mamana baba ko alilaaniwa
laana ya uzinzi we unakubali kuendeleea nayo kisa baba na mama walikuwa wale wale no wakati wa kujitoa sasa jamani
kuna maombi ukifanya kwa imani na kudhamiria nakwambia shetan anakimbia wanawake wote unaona kama mama zako kama uko na kale kaspirit njoo sasa ufunguliwe sio hayo tu kuna shida nyingi watu wanaishi nazo siso zao lakini awajui jinsi a kujitoa ndio maana wengine kwa kutokuwa na ufahamu wanakimbilia kwa waganga
mungu akupe nguvu uje kinondoni biafra upate neno la ufahamu
sio kweli pengine ukutakiwa kuishi nyumba za kupanga pengine ulitakiwa uwe na biashara 'kubwa lakini
leo hii ujui mambo yaliokufanya uwe hivyo na shida zako unaishia kudai hata mama na baba walikuwa hivi
nao uhujui walisemewa nini...kuna mambo mengi yanachangia kufikia hatima ya maisha yako ya sasa
njoo biafra upate neno la mungu ufunguliwe ufahamu kwa nini uko hivyo
nikupe mfano kuna ukoo kila anaezaliwa mwanaume malaya mwanamke kahaba..sasa wakikua wanakuta baba na mamamzao wamekufa na kaugonjwa haka haka wanajipa moyo bana we hii ndio asili yetu ..sio kweli pengine mamana baba ko alilaaniwa
laana ya uzinzi we unakubali kuendeleea nayo kisa baba na mama walikuwa wale wale no wakati wa kujitoa sasa jamani
kuna maombi ukifanya kwa imani na kudhamiria nakwambia shetan anakimbia wanawake wote unaona kama mama zako kama uko na kale kaspirit njoo sasa ufunguliwe sio hayo tu kuna shida nyingi watu wanaishi nazo siso zao lakini awajui jinsi a kujitoa ndio maana wengine kwa kutokuwa na ufahamu wanakimbilia kwa waganga
mungu akupe nguvu uje kinondoni biafra upate neno la ufahamu