careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani kie nauliza kweli ujueMaana yake siku za hivi karibuni utaolewa na mganga wa kienyeji. Kwa hyo jipange mama. Ni mwendo wa kula kuku na mbuzi wa kafara kwa mrija.
Mkuu ujue mwenzako hapa naumiabkweli ujueUnatakiwa uolewe sasa
hiyo kuinama kuchungulia chini ya kitanda ndio chuma mboga sasa
huyo anayewafuata kuwachungulia ni mpiga chabo tu
Lakin kwanini ije na muendelezo? Kwanini watu wanisujudie?Ndoto ni Ndoto tu.
Asante mkuukama ningejua kutafsiri ningekutafsiria.
ukianza kutoka damu niambieMkuu ujue mwenzako hapa naumiabkweli ujue
Acha masihara basukianza kutoka damu niambie
Unadalili ya kua mgangaKama mwezi mmoja au miwili nyuma niliota nipo sehem na mwenzangu ambaye nahis alikua mwanaume ambaye cjui kama namjua au simjui ila ni kama vile alikua ananiongoza yaan anataka kunionyesha kitu ambacho aliniambia mie nikambishia kuwa hicho kitu hakiwezekan.
Kwahiyo akaniambia kama unabisha twende tukafika sehem kama kulikua nankitanda hivi akainama kidogo uvunguni mwa kitanda akanyanyuka na mie nikafanya vile vile sasa ile nanyanyuka pale uvunguni natembea hatua mbili kugeuka nyuma nikaona kuna mwanaume kavaa kilemba chekundu anatufuatilia kwa nyuma japo tumemuacha mbali kidogo lakn anaonyesha juhudi za kutukimbilia nikawa naogopa huku tunaendelea kutembea tukafika sehem kuna kama uwanja na watu wengi yule akajitokeza mtu mmoja akaniambia ukitaka huyo asiwafuatulie chukua mtama huu hapa mmwagie..
sasa nikachukua mtama ile namumwagia hiv akaukwepa japo ulimpata kidogo kwahivo tukaendelea kutembea na tukampiga chenga pale kwenye kundi la watu! Ila tumetembea mbele kidogo mara tena nikamuona huyo katokea manake katutafuta hadi katuona ndoto ikaishia hapo.
Siki ya pili yake tena nikaota mwanaume kavaa kilemba cheusi na yeye ananifuata aah sikumbuki ndoto yake ilikuaje lakin nakumbuka tu hapo kuwa alinifata.
Sasa umepita huo muda zaid ya mwezi mmoja leo tena nimeota watu wawil wale wale mmoja kavaa kilemba chekundu na mwingne cheusi eti wamekuja pembeni ya kitanda changu halafu wakanisujudia kkaa wananiomba kitu hivi...
Naombeni anayejua tafsir ya ndoto hii yenye muendelezo anisaidie maana hata sielew ni kina nan hao wanaonifuata?
Na kwanini wamefunga vilemba? Sioni sura zao vizuro lakin najua ni wanaume weusi na vilemba wamevifunga vizuri tu.
Msaada wenu tafadhali maana naogopa sana!
hiyo kuinama kuchungulia chini ya kitanda ndio chuma mboga sasa
huyo anayewafuata kuwachungulia ni mpiga chabo tu
Wee ni kabila gani chimbuko la kwenu mnaasili ya uganga auUnadalili ya kua mganga
Mambo ya ndoto mda mwingine huwa ni fikra tu na mawazo yako. Ila binafsi hua ninaota usiku kama kuna jambo baya litatokea kesho yake. Mfano kuna siku niliota nimesimama pembeni ya kaburi na watu wengi wamenizunguka wanalia. Ile naamka tu kesho yake asubuhi mjomba wangu akanipigia simu ananiambia rudi nyumbani kuna tatizo nilikua chuo alafu kesho yake kulikua na test. Nikamwambia mjomba siwez nina test kesho. Akaniambia nenda ni muhimu akakata simu. Mda huo huo bro nae akanipgia simu ananiambia rudi nyumban mzee amefariki. So kua makin nenda kanisan mueleze mchungaj uombewe.Acha utani kie nauliza kweli ujue