Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Huyu jamaa wamempiga kichupa nn ?? Huwez jua maana binadamu bana sio kabisa.
[Jokes]
[Jokes]
Kabisa. [HASHTAG]#Fact[/HASHTAG].Hata kama Mpoki alikuwa na mishe zake kutoonekana kwenye harusi ya masanja kuna kitu behind the scene.
SASA UNGEWEKWA WAZI COS JAMAA NI MTU MAARUFUHaya ndiyo maoni ya kila mtu, ila ukweli kuhusu huyo jamaa upo kwake yeye mwenyewe na familia yake.