snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
network marketing sucks,he rich keep on getting richer sababu they use their own people kuwa downlines wao,i once did network marketing,nikafanikiwa kurudisha hela yangu only because i had to suck the close people i knew waliokuwa tayari kujiunga,lakini hamna faida yoyote,,,,siku zote hata hawa politicians kama bill wanasupport network marketing wakisingizia kwamba wanatengeneza employments,,just look at all the rich people wanaohubiri network marketing,they all have ENOUGH MONEY,na wamefungua their own network marketing companies so that they can suck ur money...so kaka,naomba kwanza nikupe pole kwa kukamatwa...network marketing haina tofauti na upatu,the difference ni kwamba imefanywa legal......pole zangu za dhati kwa swala la network marketing....ila kama unafanya mishe zingine na bado unaishi hapa tz,na unalipwa kwa USD ni shavu,hii hali sio wewe tu,tanzanite gem dealers,tour operators,tour guides,na watu wa tours companies kwa sehemu za kilimanjaro na arusha,they pray for the same thing,,na they get rich kwa hilo than kutegemea hela za upatu