"Naomba Shilingi ishuke ifikie 5,000 kwa dola?" Why?

Nakupa hi kwa uvumulivu mkuu, maana kila uki-post habari za milele living unapata changamoto nyingi zaidi. Jitahidi kaka uko kazini.

This is about the SYSTEM, Network Marketing System, how it work, not any company, cause you can apply the system in any business including your's, if you have any.
 
We millionea Una ushamba ule wa utoto, enzi zetu tulivyokuwa watoto ukipewa buku unaenda kulichenji ili nazo nyingi!! coins kibao mfukoni!! sasa sijui mwenzetu bado upo utotoni ama Ndoto zako za alinacha zinakusumbua!! shilingi kila inavyoshuka tanzania wananchi vilio. kilo ya unga wa ngano unaijua bei yake lakini ama unaomba tu shilingi ishuke?? Siwezi kukuita pimbi ila hapo kidogo umepotea!!


Wacha nikwambie, nilichokiandika nina uhakika nacho 1,000% pengine kama vile wewe ulivyo na uhakika na kifo, nimekisoma, nimekitafiti kwa miaka miwili, nimekishuhudia kwa macho yangu, nimekifanya, sitoi hewani, nina CONCRETE EVIDENCE za kusema nibacho sema, ukitaka materials nita-share (kama si mvivu wa kusoma) na wewe hata kama wadhani mi pimbi. ni-PM nitakupa hizo materials, ikiwa bado ni tomaso.
 
Nimegundua jambo moja, wachangiaji wengi walochangia thread hii, wamechangia NEGATIVELY kwa kusoma HEADING na si CONTENT wala LINKS zilizomo, na hakuna aliyejaribu kujibu maswali yaliyomo, hii inadhiirisha ukweli wa thread kuwa wengi wana -ve perception na mfumo huu, lakini pia inadhiirisha usemi kuwa Wabongo tu wavivu wa kusoma.

Mi nadhani ni wakati wa kubadilika, kimtazamo na fikra, hatuwezi kusonga mbele pasipo kubadili mitazamo yetu na zaidi pasipo kujenga kautamaduni ka kusoma, si lazima usome kila kitu, angalia ni nini wataka maishani, ikiwa wataka furaha, isome furaha, ikiwa wataka uhuru soma uhuru, ikiwa wataka pesa soma pesa.

Wengi wanaona NWM ni ngumu, wanafikiri hauwezi kufanikiwa, mi nasema ni ngumu ndio tena sana lakini unaweza kufanikiwa, tena sana, NWM si mahala pa kutajirika haraka, ukienda na mtazamo huo itakushinda, ndivyo wengi walivyoshindwa, falsafa ya NWM ni moja "Help others to get what they want and you get what you want", kama kufikiria au kusaidia wengine kufikia malengo yao, kupata kile wakitakacho maishani si sehemu ya utashi wako, hii haikufai, nenda kwenye ajira, kwa kusaidia na kushirikisha wengine ndipo mafanikio yasiyotarajiwa yanapotokea, ndipo mabilioni yatakuja, si kwa siku moja wala mbili, bali yatakuja. Kumbuka waliofanikiwa walisimamia na kushikilia kile walichokiamini ata kama iliwachukua miaka dahali, mwisho walifanikiwa. "Winners never quit and quiters never win."

Leo watu wengi wenye umeme wanatumia bulb, je kuna aliyewai kutafiti kuwa Thomas Edson alijaribu na kushindwa mara ngapi kabla ya kufanikiwa katika kile anachokiamini? fanya utafiti wako, mtu mwingine na ambaye aweza kuwa bado katika kumbukumbu za wengi ni Steven Jobs, je ushajisumbua kujia historia yake? je usemi wake huu kwa Meneja wa Kiwanda cha vinywaji baridi ulitimia?
"Do you want to sell sugared water for the rest of your life or do you want to come with me and change the world?" Steven Jobs

Waliofanikiwa wote walisimamia katika walichokiamini wakatenda na hatimaye wakafanikiwa.

Kama nilivyosema tangu awali, ninazo materials, references zinazoweza kumsaidia kila mmoja wetu mwenye nia ya dhati kufahamu MFUMO huu, unafanyaje kazi, waliofanikiwa wamefanya nini tafauti na waliojaribu wakashindwa, je nawe waweza utumiaje katika biashara zako, ili nawe mwisho wa siku ufurahie na akina Erika, Aisha, Kayombo, Enos, na wengine wengi pale unapoambiwa dola imepanda, badala ya kulia na kuilamu serikali kuwa shilingi inashuka thamani, ikiwa una nia ya dhati nitwangie, 0784475576. Please hii ni kwa yule tu mwenye dhamira kuijua SYSTEM hii.
 
Duh! Kweli wachumi wako wengi, Hongera akili yako na MKULO hakuna Tofauti, wach aifike 5,000/= tuone hilo ongezeko lako utatumia wapi?
sasa hivi, dola 2000
sukari 2500,
Mafuta 2200,
Mchele 2000,
Nyama 6000,
Ikifika 5000, kaa ukijua mafuta yatakuwa 5000, sukari 5000, mchele 5000, nyama 10,000, yote kutopkana na kupanda gharama z a mafuta na mbole pamoja na madawa ya kilimo.
Unajua ni kwanini vitu vinapanda bei?
Just to inform you ni kwa sababu ya WEAK Shilingi kwa Dola,
Shilingi ingekuwa dola 100 Leo huwezi amini Mafuta yange kuwa Lita shilingi 100, madawa ya wadudu, Mbolea na bidhaa nyingine vingekuwa chini kwa Asilimia kubwa sana.

Pole sana nadhani utakuwa umesoma darasa moja na hawa wachumi wetu.Wakina Mkulo, Ndulu, Kikwete and there LIKES!
 
Wacha nikwambie, nilichokiandika nina uhakika nacho 1,000% pengine kama vile wewe ulivyo na uhakika na kifo, nimekisoma, nimekitafiti kwa miaka miwili, nimekishuhudia kwa macho yangu, nimekifanya, sitoi hewani, nina CONCRETE EVIDENCE za kusema nibacho sema, ukitaka materials nita-share (kama si mvivu wa kusoma) na wewe hata kama wadhani mi pimbi. ni-PM nitakupa hizo materials, ikiwa bado ni tomaso.

Huyu jamaa AMAKARIRI NA KWA VYOVYOTE UMECHANAGNYIKIWA NDUGU YANGU.
UMELETA MADA UNATAKA DOLA IWE 5,000/= watu wankuambia ikiwa 5,000/=- sawa ukichenjio hiyo dola 7, 000 utapaat 35,000/= je hii hela utaitumia vipi? Unafikiri Dola ikiwa 5000 mafuta yatakuwa 2000 hapa hapa? sukari 2500? nyama 6000? dala dala 300?
Fikiri tena kabla ya KUANDIKA usiwe kama MKULO na Nundu sijuhi gavana yule, hawa hawajuhi ahta bei ya vitu kila kiotu kipo kwenye firiji na vingine vinaletwa!
 
Duh! Kweli wachumi wako wengi, Hongera akili yako na MKULO hakuna Tofauti, wach aifike 5,000/= tuone hilo ongezeko lako utatumia wapi?
sasa hivi, dola 2000
sukari 2500,
Mafuta 2200,
Mchele 2000,
Nyama 6000,
Ikifika 5000, kaa ukijua mafuta yatakuwa 5000, sukari 5000, mchele 5000, nyama 10,000, yote kutopkana na kupanda gharama z a mafuta na mbole pamoja na madawa ya kilimo.
Unajua ni kwanini vitu vinapanda bei?
Just to inform you ni kwa sababu ya WEAK Shilingi kwa Dola,
Shilingi ingekuwa dola 100 Leo huwezi amini Mafuta yange kuwa Lita shilingi 100, madawa ya wadudu, Mbolea na bidhaa nyingine vingekuwa chini kwa Asilimia kubwa sana.

Pole sana nadhani utakuwa umesoma darasa moja na hawa wachumi wetu.Wakina Mkulo, Ndulu, Kikwete and there LIKES!

Kibanga, umesoma heading au contents? kama ni content utagundua kuwa hiyo ni nukuu, si maneno yangu, na wala mimi si mchumi, athari zake zi wazi kwa wengi, bali kwa wachache wananufaika, hiyo ndio dunia ilivyo, unaweza kuamua kujiunga na wanaonufaika au na wanaolalamika.
 
Huyu jamaa AMAKARIRI NA KWA VYOVYOTE UMECHANAGNYIKIWA NDUGU YANGU.
UMELETA MADA UNATAKA DOLA IWE 5,000/= watu wankuambia ikiwa 5,000/=- sawa ukichenjio hiyo dola 7, 000 utapaat 35,000/= je hii hela utaitumia vipi? Unafikiri Dola ikiwa 5000 mafuta yatakuwa 2000 hapa hapa? sukari 2500? nyama 6000? dala dala 300?
Fikiri tena kabla ya KUANDIKA usiwe kama MKULO na Nundu sijuhi gavana yule, hawa hawajuhi ahta bei ya vitu kila kiotu kipo kwenye firiji na vingine vinaletwa!

Please, go back read the content very careful, plus its links, then come back and comment!, What I'm saying is practical not theory!
 
Huyu jamaa AMAKARIRI NA KWA VYOVYOTE UMECHANAGNYIKIWA NDUGU YANGU.
UMELETA MADA UNATAKA DOLA IWE 5,000/= watu wankuambia ikiwa 5,000/=- sawa ukichenjio hiyo dola 7, 000 utapaat 35,000/= je hii hela utaitumia vipi? Unafikiri Dola ikiwa 5000 mafuta yatakuwa 2000 hapa hapa? sukari 2500? nyama 6000? dala dala 300?
Fikiri tena kabla ya KUANDIKA usiwe kama MKULO na Nundu sijuhi gavana yule, hawa hawajuhi ahta bei ya vitu kila kiotu kipo kwenye firiji na vingine vinaletwa!


Lets be realistic, kipato cha mtanzania kinajulikana, iwe kcc au ofisa hakitoshi, piga au labda uibe, whats wrong then earning some few dollars lets say 500 - 2,500 per month through this system, and without quitting your job or business?

Siku moja nilikutana na Mlemavu mmoja wa macho amechukua mambo IT pale IFM alikuwa ktk research yake, aliniambia kitu mpaka leo uwa nakitafakari, alisema,
"Nashangaa sana kuona wanafunzi wasio na ulemavu kama sisi wanafeli pamoja na kuwa na nyenzo na vitabu vyote kwaajiri yao, kuliko sisi wenye ulemavu, mimi nisingefeli, kwanini nifeli?" alimalizia kwa swali
Je hii ina maana gani kwa sisi wakazi wa Zama za Taarifa au Habari (Information Age Citizen)
We have each and everything at our disposal to distinguish between FACTS and FICTIONS, lakini twashindwa, twabakia kulalama, why?

Pasipo kubadili mitazamo yetu, hatutaweza kubadili maisha yetu, full stop.

Lets use this ICT placed at our disposal creatively for the better future, instead of what we are doing now.
 
Lets be realistic, kipato cha mtanzania kinajulikana, iwe kcc au ofisa hakitoshi, piga au labda uibe, whats wrong then earning some few dollars lets say 500 - 2,500 per month through this system, and without quitting your job or business?

Siku moja nilikutana na Mlemavu mmoja wa macho amechukua mambo IT pale IFM alikuwa ktk research yake, aliniambia kitu mpaka leo uwa nakitafakari, alisema,
"Nashangaa sana kuona wanafunzi wasio na ulemavu kama sisi wanafeli pamoja na kuwa na nyenzo na vitabu vyote kwaajiri yao, kuliko sisi wenye ulemavu, mimi nisingefeli, kwanini nifeli?" alimalizia kwa swali
Je hii ina maana gani kwa sisi wakazi wa Zama za Taarifa au Habari (Information Age Citizen)
We have each and everything at our disposal to distinguish between FACTS and FICTIONS, lakini twashindwa, twabakia kulalama, why?

Pasipo kubadili mitazamo yetu, hatutaweza kubadili maisha yetu, full stop.

Lets use this ICT placed at our disposal creatively for the better future, instead of what we are doing now.

Hakuna FACTS ndugu yangu hizo zote THEORY kama unavyojistukia mwenyewe, MPE MACHO huyo MLEMAVU tuone kama atweza kuayashinda MAJARIBU ya dunia hii, Mwambie MUNGU kamsaidia sana kumpa huo ulemavu kwani UNAMUEPUSHA NA MATAMANIO ,mengi ya duinia hii, na amini hata wewe ungekuwa HUNA MACHO usingekuwa na huu MUDA WAKUJA KUTAPELI WATU hapa!
KAMA IPO IPO TU, Tuna sema huku USWAZI.
 
Kibanga, umesoma heading au contents? kama ni content utagundua kuwa hiyo ni nukuu, si maneno yangu, na wala mimi si mchumi, athari zake zi wazi kwa wengi, bali kwa wachache wananufaika, hiyo ndio dunia ilivyo, unaweza kuamua kujiunga na wanaonufaika au na wanaolalamika.
Na hao wachache hawawezi kuwa wewe au huyo dada na vidola vyake 7,000 kwa mwezi anataka dola ifike 5000 hiyo 350,000/= itampeleka wapi?.
nakuhakikishia hata MKATE hatonunua kwa hiyo hela kwani kipindi hiko Mkate utakuwa 500,000/= Yes I SAID IT, kama ungekuwa na busara ungemshahuri kuwa maombi yake YAPITIE MBALI!!!!
 
Ebwana kwa mahesabu hayo umechemsha,last wiki nilikua Dar na dolla zangu kadha.Nilipoenda bureau kuchenji nilishangilia but nilipoingia madukani nikakuta bei ya vitu juu,nikiuliza mbona bei kubwa wakasema DOLA imepanda sana.hadi nilitamani kununua vitu kwa dola labda makali yangepungua.
 
Ebwana kwa mahesabu hayo umechemsha,last wiki nilikua Dar na dolla zangu kadha.Nilipoenda bureau kuchenji nilishangilia but nilipoingia madukani nikakuta bei ya vitu juu,nikiuliza mbona bei kubwa wakasema DOLA imepanda sana.hadi nilitamani kununua vitu kwa dola labda makali yangepungua.

Thread hii huwezi isoma pitia moblie phone pengine ukiwa kiti kirefu ukaielewa kiasi cha kuja na constructive comment, challenge or critique, haiwezekani, same apply's kwa yule aliyeenda cafe akalipa nusu au saa moja akasema ameilewa akaja na majibu sahihi kwa maswali yaliyoulizwa umo, haiwezekani, ina links zaidi ya kumi kuisapoti, twabisha for the sake of kubisha hakuna aliyekuja na CONCRETE EVIDENCE kupinga kile kilichosemwa, ni blah, blah tu, as usual kwa wabongo, kesho ukiwa na pc na internet access ya free (labda ofisini kwako) kaa isome kwa utulivukabisa, pitia links zoote, ikikuchukua muda mdogo sana basi ni saa 8, bila shaka jioni utakuwa na briliant comment itakayo tusaidia sote, especially ukiweza jibu maswali yaliyomo.
 
So far, comments and reactions for this thread seems to be based, mostly on fear of what might happen if that comes true or to learn new things that comes our way or even new ideas that are quite different to what we used to or taught in our schools, its very sad, if you, being the Citizen of the Information Age, with each and every thing at your disposal to confirm any information you receive can have such kind of fear, its very sad, remember, Fear is the biggest enemy to success, we need to overcome, it if we really mean it, wanasema Uoga wako ndio umasikini wako!

Watanzania hatuna budi kuchukua hatua za makusudi kama kweli tuna uchungu na maisha yetu na uchu mi wetu binafsi pia, kulalamika hakutatusaidia hata kidogo, tuamke, hatuwezi fika mbali kama tutakalia porojo tu, kinachoonekana hapa ni kilio cha kuhofia shilingi isishuke kufikia hapo, lakini jiulize wewe binafsi wafanya nini katika hili?

Tubadilike, tujitume, tukamate na kujaribu kila fursa zilizopo mbele yetu kwa maendeleo yetu sote, kukaa na kulaumu serikali hakutatusaidia hata kidodo, tuache majungu, hayajengi, hatuwezi kuendelea kuwa nchi ya "Pool, Simu na Pombe" (msemo wa mwana JF mmoja) naongezea na UDAKU (kwa hili la udaku huitaji kufanya utafiti mkubwa, nenda meza za magazeti angalia yanayonunuliwa sana kisha njoo hapa JF angalia sred zinazochangamkiwa utapata jibu) alafu tukatarajia muujiza wa Shilingi yetu kupanda, haiwezekani, ni kujidanganya, hatuwezi kubadirika bila kubadili fikra na mitazamo yetu kuhusu fursa mbali mbali zitujiavyo, ni ndoto.

Hatuwezi kufanya shilingi yetu ipande kwa kuendekeza viti virefu, pool, simu na kushabikia UDAKU, haiwezekani, tutairaumu serikali bure tu, tutaria kilio cha samaki, machozi yataenda na maji, Zama za kutarajia serikali, shirika, mwajiri au kampuni ikufanyie kila kitu maisani mwako imepita, haiko tena, ya sasa ni juu yako binafsi kujitengenezea uchumi na taratibu zako binafsi, ndio maana wengi wamelalama kusikia dada yule akiomba vile, sio kosa lake, kuna kitu ameaona, wewe na usomi wako hutaki kukiona, atakusaidiaje? Amka, chukua hatua kabla jua halijakuchwa.


 
Tatizo nadhani ni uwelewa/ elimu tafadhali soma hii topic itakusaidia INTERNATIONAL PURCHASING POWER PARITY RELATIONSHIP
 
Watu wanaoamini Network marketing ndo wanavyokuwa wanaichukulia Network marketing kama dini fulani na hauwezi kuwaaambia kitu, mpaka waliwe vya kutosha ndo wanazinduka. Watu wanaotengeneza pesa in the end ni wale walioanzisha ndo maana akina Trump wanaweza wakawa wanasupport.
 
Wengi waliochangia sred hii wanonesha jambo moja, woga, woga wa kuona shilingi ikishuka kufikia hapo au zaidi maisha yao yatakuwaje, lakini woga bila kuchukua hatua hautatusaidia wabongo, hauwezi , tutaendelea kulaumu na kulia tu, tubadili mitazamo yetu ili tuweze kudabili maisha yetu, vinginevyo ni maumivu tu.

Uoga huu ni dalili za kutojiamini, lack of self confidence, but where do you get self-confidence? its by knowledge, and where do you acquire knowledge? One can answer that. hatuwezi kupata knowledge kwa kusoma Lulu kafanya nini, Wema katembea na nani, Jay Dee mjamzito, hatuwezi, LETS CHANGE FOR THE BETTER, lets cultivate the culture of reading books, TUSIVIOGOPE VITABU.

Hatuwezi badili mitazamo kwa trend tunayoenda nayo sasa ya kupinga pasipo uthibitisho wa kupinga kila tunachoambiwa kwasababu tu hatukijui, hakijawai fanyika au hatukufundishwa mashuleni, hatutaweza, TUBADIRIKE. Jim Rhon aliwai sema, "If you want happiness, study happiness, if you want money, study money and if you want success, study SUCCESS."

Wacha niwaulize woote waliopinga na ambao hawakupinga, What do you want and what are you studding now? Madaktari ili wawe madaktari wanasoma nini? wanasheria je? Je Wabongo tutapata success kwa kusoma na kushabikia udaku? uhitaji utafiti mkuuubwa kujua kuwa wengi wanapenda sana udaku, angalia humu JF sred zinazochangamkiwa sana au simama kwenye meza za magazeti angalia yanayonunuliwa sana utajua tu. HATUTAFIKA, TUBADIRIKE.

Wachumi wakubwa duniani, Prof Paul Zane Pilzer, Dr Charles King, Jim Rhom Roberk Kiyosaki wametoa ushauri na njia ya kufikia hapo, yaani kuwa Wamiliki wa Biashara kubwa au Wawekezaji, tutakapo fika kuwa na wabongo weeengi au kina Mohamed Enterprises, Reginald Mengi au Bakheresa wengi ndipo pesa yetu yaweza kuwa na thamani, maana tutazalisha mali na kuuza nje ya nchi, njia zenyewe ni tatu
  1. Kuanzisha au Kumiliki Biashara kuwa kama hao niliowataja, sasa kaangalie mtaji wao, kama unao au waweza kuupata kaungane nao.
  2. Njia nyingine ni Uwakala wa Makampuni makubwa duniani (FRANCHISE), kama Cocacola, Steers, Mc Donald nk, Pia kama utakuwa na uwezo huo, Go for it. utaokoa uchumi wako na wa taifa pia
  3. Na njia ya tatu ni NETWORK MARKETING, WHY? ikiwa huna mtaji wa kuwekeza katika njia mbili za juu, hii ndio mkombozi wa wengi, kwa mtaji mdogo wa pengine pungufu ya 1m Tsh, ukiuunganisha na malengo ya mbali ya kuwa, na mpango mkakati madhubuti na kuchukua hatua, na kuufanya kwa moyo mmoja unaweza kupata mtaji wa kutosha kukuwezasha kufanya moja ya njia mbili za juu au zote.
"You strengthen our country and our economy not just by striving for your own success but for offering the opportunity to others" Bill Clinton talking to Network Marketers

Tuusome, tusikirupuke kuupinga for the sake of kupinga, links chache zilizopo katika hii sred zinaweza kukupa mwangaza iwapo una nia ya dhati, TUSOME, vinginevyo waweza endelea kulalama na kulialia tu, mwisho wa siku shilingi haitapanda kwa kulalama, na wala dola haitakaa ishuke kwa kulilia kwako. NEVER, nyakati za kutegemea serikali, shirika au kampuni yako ikufanyie kila kitu imepita, hizi ni nyakati nyingine.

Sikiliza wataalamu wa uchumi wanasema nini kuhusu NWM:-


Paul Zane Pilzer
"In today's world working for yourself is actually the safer route, and working for a corporation has become the riskier propositions"

Jim Rhon
"Network Marketing is really the greatest source of grass root capitalism, because it teaches people how to take a small bit of capital, that is your time and build the American dream"

David Bach
"When I read in the Fortune Magazine, that Warren Buffet, the Billionaire Investor was investing in Direct Sales (Network Marketing) I decided I was missing something"

Robert Kiyosaki
"Network Marketing gives people the opportunity with very low risk and very low financial commitment to build their own income-generating asset and acquire great wealth"

Brian Tracy,
"The future of Network Marketing is unlimited. There are no ends in sight. It will continue to grow, because better people are getting in to it, it will be one of the respected business methods in the world"

Elimu hii imenigharimu sana pesa na muda, kwa kipindi cha miaka miwili niliamua kwa makusudi kuusoma mfumo kwa sababu nilikuwa na mashaka nao, kama walivyo wengi wetu, lakini nimeitoa bure leo hii hapa ni bora ukainaikiri na kuanza kuifanyia kazi,
Mwakani nafungua darasa rasmi kuhusu NWM, haitakuwa bure tena, utalipia na si gharama ndogo, hautakaa uone thread zangu humu kuhusu haya. Litakapoanza nitaomba MODS waiondoe hii thread au zote. Sikulazimishi uamini nisemayo bali mimi nasimamia ninachokiamini kulingana na ndoto au malengo yangu ya baadaye. MARK MY WORDS, FOR I WALK ON THEM!

Yeyote baada ya kusoma sred hii na links zake zote na bado akawa na maswali au mashaka anitafute, tutaelekezana, pliz usinitafute kwa kuwa umesoma heading au ujapitia links zake, nisingependa tupotezeane muda, kumbuka, muda ni mali.


Steve Jobs, I'm sure he died the happy man, why? his dreams, that no body believe in except himself comes true and proved wrong to those super skeptic,

His concept, "a computer as easy to use as a toaster." was it achieved or not?

You might be sitting there using and enjoying the fruits of his ideas, knowing or unknowingly, yet you don't agree that THOUGHTS ARE THINGS!

SWALI LA MWISHO.
JIULIZE, Leo wewe ni mfanyakazi au mwajiriwa (kima cha chini au juu kabisa), mfanyabiashara (ndogo au kubwa), Je Mwenyezi Mungu akikuita (hilo halina ubishi, lipo) familia yako au warithi wako wataweza kurithi kipato chako? Ikiwa jibu ni NDIO, Nakupa HONGERA, lakini kama SIO, FIKIRI MARA MBILI.
 
Ushauri wangu kwa wote wanaotaka kujiunga na Network Marketing, ni SOMA kwanza mfumo wenyewe kwa umakini, jinsi unavyofanya kazi, (viambatanisho mbalimbali katika sred hii vyaweza kukupa mwangaza), ukishaufahamu vyema ndipo utafute kampuni, popote pale ulipo, utakayoona imesimamia katika misingi imara ya NWM, ambazo ni uongozi thabiti, Bidhaa bora na Mpango mathubuti kwa washiriki wake, ziko zaidi ya 200 duniani, tafuta utakayonufaika nayo na yenye Multi Level Income pia, jiunge nayo nawe uanze kufurahia kupanda kwa Dola au,

..anzisha kampuni yako kampuni kama una uwezo na tumia system hii kuendesha biashara, kusambaza huduma ama bidhaa.
 
So far, comments and reactions for this thread seems to be based, mostly on fear of what might happen if that comes true or to learn new things that comes our way or even new ideas that are quite different to what we used to or taught in our schools, its very sad, if you, being the Citizen of the Information Age, with each and every thing at your disposal to confirm any information you receive can have such kind of fear, its very sad, remember, Fear is the biggest enemy to success, we need to overcome, it if we really mean it, wanasema Uoga wako ndio umasikini wako!

Watanzania hatuna budi kuchukua hatua za makusudi kama kweli tuna uchungu na maisha yetu na uchu mi wetu binafsi pia, kulalamika hakutatusaidia hata kidogo, tuamke, hatuwezi fika mbali kama tutakalia porojo tu, kinachoonekana hapa ni kilio cha kuhofia shilingi isishuke kufikia hapo, lakini jiulize wewe binafsi wafanya nini katika hili?

Tubadilike, tujitume, tukamate na kujaribu kila fursa zilizopo mbele yetu kwa maendeleo yetu sote, kukaa na kulaumu serikali hakutatusaidia hata kidodo, tuache majungu, hayajengi, hatuwezi kuendelea kuwa nchi ya "Pool, Simu na Pombe" (msemo wa mwana JF mmoja) naongezea na UDAKU (kwa hili la udaku huitaji kufanya utafiti mkubwa, nenda meza za magazeti angalia yanayonunuliwa sana kisha njoo hapa JF angalia sred zinazochangamkiwa utapata jibu) alafu tukatarajia muujiza wa Shilingi yetu kupanda, haiwezekani, ni kujidanganya, hatuwezi kubadirika bila kubadili fikra na mitazamo yetu kuhusu fursa mbali mbali zitujiavyo, ni ndoto.

Hatuwezi kufanya shilingi yetu ipande kwa kuendekeza viti virefu, pool, simu na kushabikia UDAKU, haiwezekani, tutairaumu serikali bure tu, tutaria kilio cha samaki, machozi yataenda na maji, Zama za kutarajia serikali, shirika, mwajiri au kampuni ikufanyie kila kitu maisani mwako imepita, haiko tena, ya sasa ni juu yako binafsi kujitengenezea uchumi na taratibu zako binafsi, ndio maana wengi wamelalama kusikia dada yule akiomba vile, sio kosa lake, kuna kitu ameaona, wewe na usomi wako hutaki kukiona, atakusaidiaje? Amka, chukua hatua kabla jua halijakuchwa.



Unaongea very very desperately....ni very clear kungekua kuna easy profits bila sweat,the whole world tungekua humo....Huu mfumo ume-prove kushindwa worldwide...unaingilia cultural/lifestyle/utulivu wa consumer na decision to buy willingly...inamfanya marketer anakua embarassed in some way.....wamenarrow products za aina flani tu ndani ya product line zao...wanadamu wanapenda kua free in nature,unapomfunga a buy products flani tu ni obvious atafikia plateau ya embarassment na kuanzia product zinazofuatia hatanunua tena no matter how good your milele living product is.....zipo biashara models chungu nzima na unafanya at will na unapata profit the way you want,milele living zinaboa wateja,usumbufu kuwafata in person ndio unawa-embarass sana,hamna usiri,bei juu,nk....ni group la business cartels huko america wamejenga mfumo,wanabenefit wao,nyie mnakua victim tu,heri nguvu unayotumia milele living ingekua ni product line yako na niche yako passion ingeongezeka zaidi na zaidi...hamuelewi tu enterpreneurs hawapendi kua under "someone"?....kwanini tusizungumzie kumanufacture our products here in Tanzania na ku market wenyewe na kupata hii hela hapa Tanzania sisi wenyewe?

Waliopo kwenye hii marketing system wapo very desperate kiasi kwamba sometimes wanaonekana wapo kama vichaa hivi,society ishawachoka and nothing you can do kama mtazamo wa society ni -ve,nothing,nothing...utatumia muda mwingi na gharama nyingi kubadilisha hii perception...businessman hana muda wa kupoteza na gharama,fata society inachotaka na hapo ndio kuna kupiga hela....haya matakataka ya sijui milele living ni ponzi scheme at best...tufanyeni biashara kwa moyo tuache uongo wa kuwalamba waamerica na mifumo yao ya fix...Clinton,Kiyosaki,sijui Trump,yote mapuuzi tu...ndio maana kwenye novel ya mtu huyu ana-comment "New York Best Selling" na mtu huyo huyo kwenye novel ya mtu mwingine ana-comment "New York Best Selling".....sishangai comments zao,ni marketing tupu!!!!!!Waondoe theory zao!!!Tufanye real business wewe "Next Milionaire" tuinue nchi na familia zetu.
 
Back
Top Bottom