chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
hii ni project ya mwisho kwangu.?
project nyingi zinapotea kwa wajinga kwa sababu ukipeleka zinakuwa crash ,kwa sababu wafanye wao.
hii project inatakiwa kuwa tume uhuru na si kupitia chama tawala .
project hii inaweza kueleza ,kuchambua na kutatua lolote bila mbunge kupitia wa chama chochote kuleta ubishi au kutetea hoja zake na ziwe record.
teknolojia inakuwa ila kama ukitaka kutunga wewe tunga .ila hujui nacho tunga.
hii app ijawahi kutokea duniani labda kidogo sijui wapi kwa nchi zenye maendeleo.
sitaki kumwaga mbonga,ugali,jiko na mpaka mpishi !
project nyingi zinapotea kwa wajinga kwa sababu ukipeleka zinakuwa crash ,kwa sababu wafanye wao.
hii project inatakiwa kuwa tume uhuru na si kupitia chama tawala .
project hii inaweza kueleza ,kuchambua na kutatua lolote bila mbunge kupitia wa chama chochote kuleta ubishi au kutetea hoja zake na ziwe record.
teknolojia inakuwa ila kama ukitaka kutunga wewe tunga .ila hujui nacho tunga.
hii app ijawahi kutokea duniani labda kidogo sijui wapi kwa nchi zenye maendeleo.
sitaki kumwaga mbonga,ugali,jiko na mpaka mpishi !