Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Omba Omba maarufu, Athony Matonya akipita katika daraja la Shani, mjini Morogoro huku akiomba kwa wakazi wa mji huo kama alivyokutwa jana. Ombaomba huyo alishawahi kuwa gumzo katika jiji la Dar es Salaam kutokana na kufukuzwa mara kwa mara na mamlaka za jiji. (Picha na John Nditi).