MTAKA HABARI
Senior Member
- Jan 17, 2019
- 123
- 149
Kwakweli majibu yake kwa watumishi yanadharau sana, hana muda wa kushughulika na kero za mtu.
Unaweza ukamsubiri ofisini na akaja na asikuhudumie na ukijaribu kumuuliza kitu akakujibu mkato tu. Najiuliza hii jeuri anapewa na nani?
Kwa moyo safi kabisa naomba serikali yangu imchunguze huyu Afisa utumishi, kwakweli anaudhi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukamsubiri ofisini na akaja na asikuhudumie na ukijaribu kumuuliza kitu akakujibu mkato tu. Najiuliza hii jeuri anapewa na nani?
Kwa moyo safi kabisa naomba serikali yangu imchunguze huyu Afisa utumishi, kwakweli anaudhi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app