Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninge elewa swali lako, bilashaka ningekusaidia aiseeee......jaman naomba kujua nafasi kazi zinapatiakana katika nutritonal field
Kam ulifanikiwa naomba msaadaWakuu naomba mwenye sample ya barua ya mdhamini au maelezo ya jinsi ya ku draft barua ya udhamini..natanguliza shukrani zangu za dhati.
Ahudumiwe kutoka.......pia ni njema ukiingiza hapo na ukatoa neno ashughulikiweHusika na kichwa hapa juu,
Mimi Mto Lyandembela1 nathibitsha kuwa ninamfahamu vyema mwantui akiwa rafiki na mwanachama mwenzangu wa jamii forum. Naomba ashughulikiwe katika kile atakacho hitaji kuoka kwako.
Aksante sana.
Mto lyandembela1
Mto Lyandembela Ifunda Iringa.Husika na kichwa hapa juu,
Mimi Mto Lyandembela1 nathibitsha kuwa ninamfahamu vyema mwantui akiwa rafiki na mwanachama mwenzangu wa jamii forum. Naomba ashughulikiwe katika kile atakacho hitaji kuoka kwako.
Aksante sana.
Mto lyandembela1
Hakuna neno la kiswahili "kukalili" ni kukaririDuh!
Wabongo acheni kuaibisha Elimu ya Bongo. Hii inamanisha mnakalili na sio kuelewa.
Hakuna haja ya kuona barua ya Udhamini ndio uelewe (Huku ni kukalili). Barua ya udhamini ni barua rasmi, hivyo unapaswa kuelewa na kutumia fomati ya barua rasmi ktk kuandika barua ya udhamini ikiwa na maudhui ya udhamini. Hakuna haja ya kukalili!!!
Wewe ni Mkulya?Hakuna neno la kiswahili "kukalili" ni kukariri