Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Mie naomba niwaulize ndugu zangu
Hivi kuna sababu maalum kwa nini viwanda alivyoanzisha baba wa taifa vimekufa?
Ulipovunjika umoja wa Afrika mashariki Kenya walibaki na viwanda viwili tu vya nguo. lakini viwanda hivyo mpaka sasa ndio vinazalisha khanga, vitenge, mashuka na nguo mbali mbali na kuziuza Tanzania. Vya kwetu vimekufa
MBEYA TEX
MU TEX
MWA TEX????
Kuna mwenye majibu yoyote hapa?
Hivi kuna sababu maalum kwa nini viwanda alivyoanzisha baba wa taifa vimekufa?
Ulipovunjika umoja wa Afrika mashariki Kenya walibaki na viwanda viwili tu vya nguo. lakini viwanda hivyo mpaka sasa ndio vinazalisha khanga, vitenge, mashuka na nguo mbali mbali na kuziuza Tanzania. Vya kwetu vimekufa
MBEYA TEX
MU TEX
MWA TEX????
Kuna mwenye majibu yoyote hapa?