NAOMBA SABABU ZA VIWANDA KUFUNGWA. Mwatex. ZZK, UFI, Tanganyika packers ngozi morogoro etc

Chilisosi

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
3,051
747
Mie naomba niwaulize ndugu zangu
Hivi kuna sababu maalum kwa nini viwanda alivyoanzisha baba wa taifa vimekufa?
Ulipovunjika umoja wa Afrika mashariki Kenya walibaki na viwanda viwili tu vya nguo. lakini viwanda hivyo mpaka sasa ndio vinazalisha khanga, vitenge, mashuka na nguo mbali mbali na kuziuza Tanzania. Vya kwetu vimekufa
MBEYA TEX
MU TEX
MWA TEX????
Kuna mwenye majibu yoyote hapa?
 
Mie naomba niwaulize ndugu zangu
Hivi kuna sababu maalum kwa nini viwanda alivyoanzisha baba wa taifa vimekufa?
Ulipovunjika umoja wa Afrika mashariki Kenya walibaki na viwanda viwili tu vya nguo. lakini viwanda hivyo mpaka sasa ndio vinazalisha khanga, vitenge, mashuka na nguo mbali mbali na kuziuza Tanzania. Vya kwetu vimekufa
MBEYA TEX
MU TEX
MWA TEX????
Kuna mwenye majibu yoyote hapa?


Vilianzishwa ili VIFE kwa vile maamuzi ya kuvijenga hayakutilia maanani uwezo wetu wa kuviendesha!!
 
Nguo zao bei ghali kuliko mitumba na pia kuna New taste, kila baada ya muda watu wanataka vitu vipya
Leo watu hawataki tena Screen za vichogo wanataka Flat na LED wala sio tena LCD
Viwanda vyetu vinatengeneza Betri za National au Khanga nani anatumia vitu hivyo, watoto wanataka Jeans skin tightkwanini usifunge Kiwanda chako cha Anglia wakati TOTOTA wanatoa vitu vya uhakika?
 
Nguo zao bei ghali kuliko mitumba na pia kuna New taste, kila baada ya muda watu wanataka vitu vipya
Leo watu hawataki tena Screen za vichogo wanataka Flat na LED wala sio tena LCD
Viwanda vyetu vinatengeneza Betri za National au Khanga nani anatumia vitu hivyo, watoto wanataka Jeans skin tightkwanini usifunge Kiwanda chako cha Anglia wakati TOTOTA wanatoa vitu vya uhakika?

nachelea kusema akili yako inafanana na jina lako, ina uchachu uchachu fulani hivi. sidhani kama viwanda hivyo vilikufa kwa sababu hizo ulizozitaja hapo, vilikufa kwa sababu ya CHUKUA CHAKO MAPEMA, ila kama vingekuwepo vingesaidia, maana sio wote wanavaa hizo jeans na skintight, KHANGA BADO ZINAHITAJIKA, BETRI ZA NATIONAL BADO ZINAHITAJIKA, kama huyajui haya wewe utakuwa huishi Tanzania, Hebu jiulize, kwa nin i wakenya bado wanavyo??? ni kweli havina faida??? achana na fikra za ukisasa zilizopindukia mipaka. Khanga na Vitenge vitaendelea kuvaliwa Tanzania kwa miaka mingi tu ijayo.
 
nachelea kusema akili yako inafanana na jina lako, ina uchachu uchachu fulani hivi. sidhani kama viwanda hivyo vilikufa kwa sababu hizo ulizozitaja hapo, vilikufa kwa sababu ya CHUKUA CHAKO MAPEMA, ila kama vingekuwepo vingesaidia, maana sio wote wanavaa hizo jeans na skintight, KHANGA BADO ZINAHITAJIKA, BETRI ZA NATIONAL BADO ZINAHITAJIKA, kama huyajui haya wewe utakuwa huishi Tanzania,
Tatizo lako hujasoma Marketing kwa hiyo ni vigumu kukuelezea, kwani inaonyesha una chuki na CCM chukua chako mapema
kuna thread ya kampuni ya SASATEL inakufa yenyewe, sasa utasema nini hapo
halafu km bado upo Tanzania na unatumia betri za National za 'AA' au 'AAA
' ndio maana hatuwezi kwenda pamoja
Hiyo Laptop angalia Betri yake au simu yako badilika Ulimwengu unabadilika yaani unapoteza muda kwenda nunua tochi ya betri ya mawe? wakati zipo za Jua za kuchaji nk
Km sio kuichukia CCM basi rudi darasani au angalau tafuta masomo ya Biashara Chuo chochote utajua ni nini kilichokuacha
ulime PAMBA uchambue PAMBA utengeneze KITENGE ushone GAUNI / SHATI halafu kiwanda hichohicho wakti wenzako wanaingia madukani kutafuta MR DIOR kweli upo Tanzania ya 70"b ambapo hawa watoto wa Vyuo vikuu hata uwaambiaje hawatanunua na ndio haop wanaotaka mabadiliko,ww unawapelekea Radio MKULIMA 77
 
mi nina mtizamo tofauti kidogo, siyo kweli kuwa viwanda haviwezi kubadilika kutoka bidhaa hii hadi nyingine mfano tulikuwa tunatumia soda kwa chupa ya glass sasa mambo yamebadilika tunatumia chupa za plastic lakini viwanda ni vile vile, hata hivyo viwanda vya nguo vinaweza kufanyiwa marekebisho kidogo ya mitambo wakazalisha vimin vya jeans mnavyotaka, kwa hiyo ni uwezo tu wa kupanga na kuchagua
 
Ukwaju.....................unapotosha jamii...............viwanda vinaendelea kuwepo, kinachobadilika ni end processess ya kile kinachotakiwa kwenda sokoni. principles za kuzalisha kitambaa ziko pale, inategemea unataka mchanganyiko wa nini na nini. end product amabayo ni nguo inatengenezwa na designers tena huenda ikawa nje kabisa ya kiwanda............hata TOYOTA wakitaka kuzalisha gari mpya huwa wanabadilisha end product design (moulds).........elimu ya biashara ni nzuri kama unakuwa na background ya nini kinatakiwa kuleta end product!











Tatizo lako hujasoma Marketing kwa hiyo ni vigumu kukuelezea, kwani inaonyesha una chuki na CCM chukua chako mapema
kuna thread ya kampuni ya SASATEL inakufa yenyewe, sasa utasema nini hapo
halafu km bado upo Tanzania na unatumia betri za National za 'AA' au 'AAA
' ndio maana hatuwezi kwenda pamoja
Hiyo Laptop angalia Betri yake au simu yako badilika Ulimwengu unabadilika yaani unapoteza muda kwenda nunua tochi ya betri ya mawe? wakati zipo za Jua za kuchaji nk
Km sio kuichukia CCM basi rudi darasani au angalau tafuta masomo ya Biashara Chuo chochote utajua ni nini kilichokuacha
ulime PAMBA uchambue PAMBA utengeneze KITENGE ushone GAUNI / SHATI halafu kiwanda hichohicho wakti wenzako wanaingia madukani kutafuta MR DIOR kweli upo Tanzania ya 70"b ambapo hawa watoto wa Vyuo vikuu hata uwaambiaje hawatanunua na ndio haop wanaotaka mabadiliko,ww unawapelekea Radio MKULIMA 77
 
Viwanda vilifungwa kwa sababu sie waafrica tunapenda vitu vya kimagharibi
 
Ukwaju.....................unapotosha jamii...............viwanda vinaendelea kuwepo, kinachobadilika ni end processess ya kile kinachotakiwa kwenda sokoni. principles za kuzalisha kitambaa ziko pale, inategemea unataka mchanganyiko wa nini na nini. end product amabayo ni nguo inatengenezwa na designers tena huenda ikawa nje kabisa ya kiwanda............hata TOYOTA wakitaka kuzalisha gari mpya huwa wanabadilisha end product design (moulds).........elimu ya biashara ni nzuri kama unakuwa na background ya nini kinatakiwa kuleta end product!

[h=2]Mwatex. ZZK, UFI, Tanganyika packers ngozi morogoro etc[/h]Viwanda hivi vya manual viliachwa lini na Robot na electronic? yaani leo mnataka kusema mashine za 1970 ya zana za kilimo Majembe ya mkono yamepitwa kiwanda chake mnakigeuza kuwa cha powertiller,nenda hapo dar ulizia kina KIDA wanakiwanda cha majembe ya mkono na wanazalisha kisasa wafanyakazi wachache mashine za kisasa na mauzo yanatosheleza nchi nzima.
Du ni Kazi kwelikweli yaani mabadiliko yaakina Gorbachev hamkuyaona ndo tuyasubiri mpaka leo
nasema TTCL ndio CCM imeiua, watu wanaenda Voda, tiGo, Airtel, Buzz nk sasa simu za mezani hazipo kwa hiyo kiwanda chake unakigeuza kinakuwa cha Blackberry

Jenerali Ulimwengu leo kahojiwa na BBC yuko nje anasema dunia inakimbia na watanzania waache uvivu wasome waendane waache kulalamika
 
Nafikiri kilichotuua ndicho kilichoua viwanda vingi america, gharama za uzalishaji kuwa kubwa na centralisation ya makusanyo na matumizi, ilhali hatuwezi kuzalisha kwa viwango vya soko! Hakuna duniani mtu asiyependa Nafuu, nyerere alikosea na alitudekeza na mpaka sasa hatuwezi hata kujisafisha tukijichafua, kutojua umuhimu wa kufa ya kazi, shared responsibility n.k. Mtu anafanya kazi bandari lkn anacheza bao kutwa kucha! Mwalimu akiandaa alaiki vizuri tunampa ukurugenzi! But anyway km mwatex mtaalam kabisa cheyo, aliwahi kujisifu awesome textile Sijui nini uingerezani imemfia mkononi, na ananguvu mpaka Leo bodi ya pamba "ilipo supamaketi yake" badala ya hata kufufua kimoja basi, anauza masufuria na taka za plastiki kutoka china .......
Jingine ni mfumo wa biashara.. Jembe linatengenezwa ufi, linapelekwa rtc, anapewa chama cha ushirika, then mkulima anakopwa kahawa, mpaka iuzwe amerika pesa irudi bot, then mkulima analipwa jembe la ufi na pesa inaenda hazina, inamsomesha mtoto wa mvivu mmoja asiyelima hata mihogo",!
Acha aisee, bila ya kufa ya ulanguzi wa kahawa Kenya by then, watoto wa kichaga unaowaona Leo wamesoma, wangekula mavi ya ng'ombe!!!
Anyway, let's think wat to do now,
Pamoja na kwamba tumechelewa sana, lkn bado tuna rasilimali na uwezo, tufanye maadiliko ya kwanza jina la nchi, mfumo wa utawala,uwezo wa kutoa hukumu za kijasiri kwa watakaoleta uzembe na kupata biashara zetu zote kiupya.
Tujikite kati ka kuzalisha aina mbili au tatu za mazao ya biashara na tukazie kwa nguvu zote, sio ss tuna shiksa kila kitu. Kama tunaamua kuzalisha sukari iwe sukari kiukweli, kama pamba au tumbaku tuwe sirias na vitu vichache lakini Tuskegee nguvu zetu kamili....
 
Back
Top Bottom