Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Jana nilikuwa katika shinikizo kuu baada ya kusikia kuwa kunataka kufanyika usanii katika majimbo ya Arusha Mjini na Nyamagana, na hasa niliposikia mafisadi JK na EL wapo kwenye majimbo husika.
Nilipatwa na hasira kiasi cha kutamani kufa.Kwa kuanza niliamua kubadili avatar yangu kwa kuweka picha ya mtu aliyejinyonga.
Lakini baada ya matokeo rasmi kutangazwa kuwa SAUTI YA UMMA imesikika, now I am thinking of changing my avatar.
Naombeni picha nzuri basi wadau.
Nilipatwa na hasira kiasi cha kutamani kufa.Kwa kuanza niliamua kubadili avatar yangu kwa kuweka picha ya mtu aliyejinyonga.
Lakini baada ya matokeo rasmi kutangazwa kuwa SAUTI YA UMMA imesikika, now I am thinking of changing my avatar.
Naombeni picha nzuri basi wadau.