Wakuu heshima mbele,
Naomba kama kuna mtu anaweza kunipostia hapa picha zinazoonyesha athari za uchimbaji wa madini Tanzania. Mfano kama una picha za athari za maji ya sumu ya mto tigiti, Bulyankulu, etc. Vilevile picha za nyumba za wenyeji wanaozunguka machimbo hayo zitafaa.
Thanks
Naomba kama kuna mtu anaweza kunipostia hapa picha zinazoonyesha athari za uchimbaji wa madini Tanzania. Mfano kama una picha za athari za maji ya sumu ya mto tigiti, Bulyankulu, etc. Vilevile picha za nyumba za wenyeji wanaozunguka machimbo hayo zitafaa.
Thanks