Naomba picha ya vidonge vya ARV vya kisasa nijiandae kisaikolojia

Mungu anaponya Ukimwi.
Kwa wale wenye maambukizi tu na (wanaomjua Mungu)

Ukimwomba Mungu kwa bidii hakika unapona Ukimwi.
Wengi nimewashuhudia kwa macho yangu na wamepona kabisa.
1. Hatua ya Kwanza ni lazima umjue Mungu halisi.
(miungu haijawahi kufanya jambo lolote jema kwa binadamu, ushahidi mnao)
2. Hatua ya pili utubu dhambi zako zote kwake, na uahidi utaishi maisha ya kumpendeza yeye siku zako zote.
3. Hatua ya tatu ni kumwomba kwa bidii, kwa uaminifu na utii na kunyeyekea kwa jinsi anavyoelekeza yeye namna ya kumwomba ili akujibu.
(maombi mengine hayajibu kwani yanaombwa tofauti na kanuni zake)
4. Hatua ya nne ni kwenda kupima mara unapoelekezwa kufanya hivyo kupitia hasa ndoto za mafunuo za usiku au mchana
5.Hatua ya tano ni furaha ya kupona.

Mungu halisi hashindwi jambo lolote.

Samahani kwa wale ambao wako mbali Kiroho, hasa Roho Safi ya Mungu.
Wabaya sana nyie.
Mnasababisha vifo vingi sana.Kuna waathirika wanakatishaga dose alafu wanafupisha maisha zaidi.
Hata wanao umwa na kutumia dose wanamjua Mungu pia.
 
Wabaya sana nyie.
Mnasababisha vifo vingi sana.Kuna waathirika wanakatishaga dose alafu wanafupisha maisha zaidi.
Hata wanao umwa na kutumia dose wanamjua Mungu pia.
Kuna mahali nimesema waathirika waache dozi ?
Mtu unaacha dozi kama umepima sio maramoja hata mara tatu na kuona kuwa umepona.
Ujue kuwa kutumia dozi au kuacha dozi ni lazima uruhusiwe na Daktari.
Unapo ninukuu basi useme juu ya kile nilichoandika na sio kunipachikia maneno ambayo sijayasema.
 
Hivi lakini si wanasemaga kuwa kama ukikutana na mtu mwenye maambukizi ya VVU endapo akakutana na mtu asie na maambukizi endapo akapa friction asikuwa na maambukizi ana uweekano wa kupata within 1 hour je kuna ukweli wowote hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom