Naomba mwenye mgahawa wa nje siyo fremu aliojenga kwa kuweka hema juu mzuri anitumie picha tafadhali.
Nimepata eneo la wazi nataka nijenge.
Sasa natafuta kitu kizuri nimshirikishe fundi wangu asante kwa ushirikiano wako.Hata kama upo mahali saiv unakula nipigie picha unitumie kama ni pazuri. Asante sana
Nimepata eneo la wazi nataka nijenge.
Sasa natafuta kitu kizuri nimshirikishe fundi wangu asante kwa ushirikiano wako.Hata kama upo mahali saiv unakula nipigie picha unitumie kama ni pazuri. Asante sana