Naomba Picha Hizi...

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
Magari ya zima moto ya vituo mbalimbali hapa Tanzania.

Natanguliza shukrani.

SteveD.
 
DSC_8262.JPG


Askari wa kikosi cha zimamoto Zanzibar wakiwa katika harakati za kujitayarisha kutoa msaada ( ajali ya MV Faith)

Ona zaidi hapa
 
1209396663_moto5webs.jpg


Askari wa Zimamoto wakilikorokochoa gari lao lililofeli kutoa maji! aibu!

Kwa zaidi ona hapa
 
Kama kuna nyingine nyingi zaidi naomba, nitawashukuru.

Picha nyingine ninazoomba ni zile za gari ya aina ya Nyumbu, kuna yeyote mwenye nazo? Kama kawa, natanguliza shukrani.
 
16.JPG


Magari maalumu ya Fire Brigade (Kikosi ca Zimamoto) wakati wa kuwahi tukio hilo la kuungua kwa Hoteli ya Paradise Resort mjini Bagamoyo


6.JPG

Hapa wakizima moto huo uliokuwa ukiwaka kwa kasi kubwa kutokana na upepo unaotokea Baharini ukizingatia kuwa hoteli hizo ziko ufukweni mwa bahari ya Hindi.

17.JPG


15.JPG

Wafanyakazi wa kikosi cha Zimamoto kutoka Dar es alaam wakijianda kwa kuanza zoezi la kuzima moto huo hata hivyo kutokana na umbali wa eneo la tukio asilimia kubwa ya majengo ya Hoteli hiyo yalikuwa tayari yameteketea.
 
img_5390.jpg


gari la zima moto la faya likiwasili eneo la tukiao huku kila kitu kikiwa kimetekeketea kwa moto,ambapo chanzo chake inasemekana ni hitilafu ya umeme.

img_5430.jpg


askari wa kikosi cha zimamoto cha Faya,akimalizia kuzima (sijui niite majivu tu,maana kaja wakati moto ushazimika) huko Bagamoyo​
 
03/03/2008

ushirika+3.JPG


Jengo la ushirika mtaa wa Lumumba, Mnazi Mmoja maarufu kama jumba refu kwa wenyeji wa Dar es Salaam lilishika moto na kuteketezwa sehemu kubwa ya ghorofa ya chini.

i527_ushirika4.JPG


Chanzo cha moto hakijafahamika ingawa redio mbazo zinajulishwa kuwa ni hitilafu ya vitu fulani fulani.

i531_ushirika6.JPG


Wanazimamoto wakiweka maswali na majibu ya moto huo.

i532_ushirika5.JPG


Moto huo uliteketeza rasilimali nyingi ambazo zinaendesha kazi katika mashirika yaliyomo kwenye jumba hilo.

i533_ushirika7.JPG


Baadhi ya rasilimali chache ambazo zimebaki zikiwa zinaangaliwa na wafanyakazi.

i534_ushirika8.JPG


Wapita njia wakishangaa na hali halisi iliyotokea hapo.

ushirika+2.JPG


Waziri wa mambo ya ndani Mh. Lawrence Masha alitembelea eneo la tukio na kujionea jinsi zimamoto walivyoweza kuudhibiti moto usienee ghorofa zingine.

ushirika+1.JPG


Wengine hawaamini macho yao kwa yaliyotokea.
 
Last edited:
29611one.jpg
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]

Mchuma Toyota Surf ukiteketea, huku zimamoto akikodoa macho bila vifaa...
[/FONT]
 
fir2.jpg


fir%2B1.jpg


Katika jiji la Arusha kuna modifikesheni za kutosha, moja wapo ya modifikesheni hizo ni "Range Rover" hii iliyo badilishwa na kuwa gari la zima moto la kampuni ya ulinzi ya "KK Guards"​
 
Back
Top Bottom