Nimekuwa nikipata changamoto juu ya Penal Code, na maboresho yake yote yaliyofanywa na Bunge.
Hii itasaidia kwani maboresho hayo hayapo wazi kwa wengi. Hii inafanya watu kuona kana kwamba sheria ni dhaifu au zimepitwa na wakati.
Ahsante kwa atakayetusaidia.
Hii itasaidia kwani maboresho hayo hayapo wazi kwa wengi. Hii inafanya watu kuona kana kwamba sheria ni dhaifu au zimepitwa na wakati.
Ahsante kwa atakayetusaidia.