Muumangu
Member
- Dec 31, 2017
- 70
- 16
Habari zenu wakuu, poleni kwa majukumu ya kila uchao. Kama mnavyofahamu ajira ni ngumu kipindi hiki, sasa basi katika kuhangaika nimepata katwisheni ka kufundisha kidato cha tano na sita, chemistry na physics, changamoto inayonikabili ikawa notes, sina kabisa notes wala materials ya A-level, hivyo basi naomba kwa mdau yeyote mwenye notes za a-level au vitabu( soft copy) vya chemistry na physics anisaidie, nikapambane na hali yangu mbele ya safari.
Ahsanteni
Ahsanteni