GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Kuanzia Leo GENTAMYCINE nitaanza kuwa makini sana hasa pale Mtu akiwa 'anamdhalilisha' au 'anamdhalilisha' fulani kwani badala ya Mimi kuanza kuona kuwa ana 'Makosa' huenda kumbe akawa yuko sahihi na pengine anastahili hata 'Pongezi' zangu. Kwa kilichotokea leo Karume Stadium huenda aliyekuwa Kocha wa Sokwe Mbwa Nyani Club (Young Africans) Luc Eymael alikuwa sahihi.
Pia nichukue nafasi hii kuwaita wale wote 'walionidhihaki' niliposema iwe isiwe 'Mchezaji' atawabwaga 'Wapuuzi FC' waje waendelee Kunitusi hapa.
Pia nichukue nafasi hii kuwaita wale wote 'walionidhihaki' niliposema iwe isiwe 'Mchezaji' atawabwaga 'Wapuuzi FC' waje waendelee Kunitusi hapa.