Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,160
- 85,151
Kiukweli siku haikuwa mbaya, na nikiwa pale sebleni watoto wetu wote sita walikuwa wenye furaha na amani tele, na hasa yule mkubwa wa kiume alikuwa akitaniana na mama yake kwa upendo wa hapa na pale.
Nahisi sometimes walikuwa wakinitete na kwapamoja wakicheka kwa mbaali huku wakifurahia na kugongesha mikono.
Mzee nilikausha na kujifanya sioni, kisha nikainuka kwenda chimbani ili niwapishe wafurahie maisha....
Ngoja nichaji sim kisha nitakuja kuendelea....
Ila Dah....
Wanaume wenzangu, kuweni makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi sometimes walikuwa wakinitete na kwapamoja wakicheka kwa mbaali huku wakifurahia na kugongesha mikono.
Mzee nilikausha na kujifanya sioni, kisha nikainuka kwenda chimbani ili niwapishe wafurahie maisha....
Ngoja nichaji sim kisha nitakuja kuendelea....
Ila Dah....
Wanaume wenzangu, kuweni makini
Sent using Jamii Forums mobile app