Naomba nitoe tuzo za heshima kwa wadada wa aina hii

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,077
17,207
Mpaka sasa raisi wetu ameshatunukiwa PHD za
Heshima 6,na mimi naomba niwatunukie Phd za
Uvumilivu wale wadada woteee ambao
ukiwaangalia ni wembamba lakini siku
atakayokutambulisha "PLEASE MEET MY BOYFRIEND"
lazima macho yakutoke maana ukiwatazama wakiwa wamesimama ni kama Usingizi na Kifo
wameoana ..Mwanaume ana Mkitambi mrefu
Manzese hadi Mbagala na mwili usio na
ushirikiano, mnene kama anakulaga lunch ya
Twiga Cement kadada kadunchu maskini,
sasa pata
picha ule muda wa kulegeza chaga sijui hata style gani inawafaa maana Mende kaangusha Kabati
mdada hawezi kuhimili Kilo 100 za mzee, Mbuzi
yuko Bize Style Kitambi kinafunika Rejeta, 69 ndo
kabisaaa...Ila jamaa ana hela mdada anavumilia na
ana guts za kusema I love my man..mweh
Nakutunuku Tuzo ewe dada, na Phd 2 za Uvumilivu na Mapenzi ya dhati. Hata Rick Ross anaweza
kuambiwa Auww Babe You look Sexy...
-STUNTER-
 
"E="kakamtumishi, post: 19087409, member: 371105"]Duuuh!!!hiyo yenyewe[/QUOTE]
"Kabisa mkuu
 
Ricky ross 2015 mpaka sasahivi ana workout kapunguza kitambi balaa

Maana ule unene alikuwa wnaweka maisha yake hatarini..
 
article-0-0ED8932000000578-224_468x787.jpg
 
"E="Dinazarde, post: 19090860, member: 193860"]Wanaume wenye vitambi[/QUOTE]
"Unawapenda eeh?
 
Usisahau pia wanaume wanaoangukiwa na Mijimama minene. Heri hata wanaume wanaweza kujishukilia lakini wanawake wanapozidiwa na utamu atakuangukia kama peto la viazi.

Kuna mmoja huku ana kilo zaidi ya 100 ila anasema hataki wanaume. Sio hawataki bali wanamkimbia na unene wake.
 
Usisahau pia wanaume wanaoangukiwa na Mijimama minene. Heri hata wanaume wanaweza kujishukilia lakini wanawake wanapozidiwa na utamu atakuangukia kama peto la viazi.

Kuna mmoja huku ana kilo zaidi ya 100 ila anasema hataki wanaume. Sio hawataki bali wanamkimbia na unene wake.
Miss natafuta
 
Back
Top Bottom