Kama umejaza kila kipengele vizuri haiwezi ikabakia hiyo 55% unayosema. Au labda system iwe na matatizo, tofauti na hapo utakuwa umekosea mahali.
Tafuta mtu unayemwamini akusaidie kujaza.
 
Picha umeweka attachment je vipi kula kwenye basic skills umejaza na sehemu ya kutick taarifa zko zipo sahihi
 
Back
Top Bottom