Wewe kama mimi tu nishajaza kila kitu imekwama hapo hapo 55% namba zao na email hawaijibunaombeni msaada hii portal ili niweze kuapply natakuwa kuwa nimefikia asilimia walau 70% sasaa mi nimejaza kila kipengere baso niko asilimia 55% naweza kuwa nimekosea nn? Nisaidienii wadau.
hivi umefanikiwa kutatua tatizo hiloNursing assistant
mkuu nahisi zamani ilikuepo lakini kwasasa kuna edit option tu.Option ya kufuta ipo
Shida kubwa mnoooNa hivi huwezi kufuta academic qualifications bc ni shida kweli kweli