Kwisense
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 475
- 1,138
Kwa ufundishaji wako umenivutia sana maana umeendana na mifano halisi. Ahsante sana kwa uelimashaji wako
Kwa ufundishaji wako umenivutia sana maana umeendana na mifano halisi. Ahsante sana kwa uelimashaji wako
Mkuu umetoa somo lakini maelezo yako yanajenga swali.Ukifka mlangoni kabla haijaja bonyeza kitufe kinachoonesha unakokwenda kwa maana ya juu au chini,ikifika itafunguka utaingia ,ukiingia bonyeza namba ya ghorofa unakoenda itafunha utaondoka,ikifka kila ghorofa ambako wameeita au wana shuka itasimaa,watashuka au kupanda halafu itafunga itaondoka mpaka ukifika uendako iatasimaa itafunguka utashuka.
Splendid!Kitufe cha upande unaoelekea ni muhimu ili kuepusha usumbufu,kama unaenda juu bonye kinachoelekeza juu na kama unaenda chini bonyeza cha kuelekea chini.
Hii ni kwasababu,kama upo floor ya 3 mfano wewe unataka kwenda floor za chini wakati rift ipo chini na ukibonyeza kitufe cha juu wakati kunawatu tayari wanaenda itakachofanya ikifika ulipo itasimama na utaingia sasa baada ya kukupeleka chini ,itakukupandisha juu kwanza kuwafikisha wale waliomo ndani ,halo utakua umewasumbua wale na wewe mwenyewe .lakini kama ungebonyeza cha kwenda chini ikifika ulipo itapita kwanza kuwapeleka,kalafu ndio ikuludie ikupeleke chini, kwahiyo,il I kuepusha usumbufu huu ukifika mbele ya rift kama unaelekea juu bonyeza kitufe cha juu na kama unaelekea chini bonyeza kitufe cha chini.
Kila ukifika gorofa flan namba yake inaindicate,hivyo namba yako haijawaka basi hujafika had itakapowaka.Mkuu umetoa somo lakini maelezo yako yanajenga swali.
Kama itakuwa inasimama na kifunguka kabla ya ghorofa uliyokomandi, ni kiashiria gani kitakachoonesha kuwa ghoroga ulilolilenga wewe haujafika?
Sijakuelewa!Splendid!
UNAJUAJE KAMA UMEFIKA GOROFA UNAYO ENDA ?