Naomba nipingane na mwandishi Erick Kabendera kuhusu hoja ya kumtaka Mbowe aende KWENYE meza ya mazungumzo.

Naomba Chadema mnielewe vyema na mjitafakari Sana kuhusu mjadala ulioanzishwa na Zitto na baadaye Mwandishi wa habari na ndugu yetu Erick Kabendera kuingilia Kati. Kwanza tunapaswa kujua Erick Kabendera ni nani kwenye mfumo wa siasa na amechangia vipi awamu ya tano kuingia madarakani kabla awamu hiyo kumkamata na kumweka ndani.

Erick Kabendera, Januari Makamba, Kinana, Nape na wengine kumbukumbu zinaonyesha wao ndio walioshiriki kuhakikisha kwamba Lowasa anashindwa uchaguzi 2015. Hawa watu ndio walioshirikiana na baadhi ya vijana wa IT kuiba uchaguzi uliomweka madarakani JpM. Nape wiki Ili aliandika kwenye ukurasa wake wa tweeter akijinadi kwamba bila yeye Lowasa angekuwa Ikulu. Alitaka kumwonyesha Polepole kwamba yeye Nape kwenye CCM ni Nani.

Baada ya awamu ya Tano kuingia madarakani JPM Nadhani makubaliano au mategemeo ya akina Kinana yalibadilishwa na ndipo mfumo ulipoanza kupambana nao bila kujali ushiriki wao kwenye Vita ya kuwaungiza madarakani. Walisambaratishwa mmoja baada ya mwingine Hadi ilipozaliwa mfumo mpya. Na hata baada ya kusambaratishwa na kwakuzongatia Bado watu Hawa walikuwa na wafuasi nyuma Yao JPM Nadhani ndipo alipoamua kutowatumia Tena kwenye uchaguzi kama viungo wachezeshaji, in short waliwekwa bench na rigging ya election ikafanyika kwa style tuliojionea.

Kwa kuwa Erick alitambua dhambi iliyokuwa nafsini mwake kuhusu tawala za afrika ilimlazimu kuingia kwenye mazungumzo may be ikiwemo kuomba msamaha kwa sababu anajua wapi alikengeuka. Nimeona kwenye post yake anakiri walifanya vikao zaidi ya 50 na JPM Hadi yeye anatolewa gerezani. Tujiulize Erick ni nani hadi afanyiwe vikao 50 ? Alikosa Nini? Vikao vilihusu Nini? Hakuna aliyejua Erick aliwahi kufanyiwa vikao vya usuluhishi akiwa gerezani hadi Leo alipoandika mwenyewe tweeter. Na kwa muktadha huo lazima tutambue Erick SI mtu mdogo ni mtu mwenye nafasi au alikuwa na nafasi flani kwenye mfumo.

Kwanini nawataadharisha CHADEMA kuhusu Erick, nikwasbabu Mbowe Hana kosa alilotenda lakini Erick alikuwa na makosa yake yakupingana au kushindwa kukubaliana na wenzie alioshirikiana nao kwenye uchaguzi 2015.

Lakini pia nawataadharisha CHADEMA dhidi ya Erick kwa sababu kwa sasa Erick na watawala akina Januari Makamba ni kitu kimoja. Kuwa mwanaharakati sometimes Kuna saidia lakini lazima tuwaangalie vyema hawa wanaotumwa kujadili hoja ya maridhiano wanatumwa na Nani? Kukubaliana nao sometimes nikukubali kununua haki Yako.

Erick na Zitto wamewahi kupingana na utawala uliopo kwa chochote? Means kwa Sasa hawa pia ni watawala ila hawana nafasi zinazoonekana Kwa macho. Madhara ya Mbowe kwenda kwenye mazungumzo kwa kuwasikiliza akina Erick nikufungua milango ya kuzimwa kwa agenda ya katiba mpya iliyopelekea Mbowe awe ndani Leo. Lakini majadiliano yenye masharti upelekea uliyekubaliana naye kukudhibiti kwa masharti yale Yale .

Nikubaliene n wanaounga MKONO kwamba waliomweka Mbowe ndani ndio wenye makosa na ndio wenye maamuzi afungwe au afutiwe Kesi. Endapo tukiruhusu majadiliano tukubaliane na masharti ya majadiliano, lakini kwa kuwa tunaamini kama Taifa kuwa Mbowe Hana kosa basi tubaiki na msimamo wetu kwamba tuache mahakama iamue kumfunga lakini tubaki na moyo thabiti wakuendeleza mapambano dhidi ya demokrasia.

Hatuwezi tukafanya mazungumzo kuhusu mwenyekiti tukawa na nguvu yakuwanyamazisha akina mdee, lazima tutalazimika kufanya mazungumzo nao. Tuache wakosaji wafanye wazungumzo, MBOWE SIYO MKOSAJI.
So touching, hadi nimekupenda Beatrice😘😘😘

Umeolewa?
 
haya ndio mambo yanafanya watawala watuone bogus na kutufanya chochote. yaani Rais anaonyesha wazi anataka kumfunga Mbowe kwa hila halafu watu badala ya kupaza sauti kukataa udikteta,eti wanashauri aombe msamaha. pumbavu kabisa.

Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe
Nakazia ukari
 
Wakati mwingine unakubali kujishusha kidogo ili mengine yaende. Jela si kuzuri. Sisi tunashabikia tu kwa sababu tuko nje. Ujasiri aliounesha unatosha. Aombe wakae mezani wasameheane arudishiwe uhuru wake arudi kuungana na familia yake
Mmh Yaani mnashangaza sana nyie mlioshabikia afungwe leo mnaoata huruma namna hiii?
 
haya ndio mambo yanafanya watawala watuone bogus na kutufanya chochote. yaani Rais anaonyesha wazi anataka kumfunga Mbowe kwa hila halafu watu badala ya kupaza sauti kukataa udikteta,eti wanashauri aombe msamaha. pumbavu kabisa.

Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe
Kuna kundi kubwa la wajinga wa ccm wanataka eti ili atoke aombe msamaha napata wasi wasi hii huruma wameitoa wapi?
 
Wamemkamata sababu ya impunity

Na kisa kikubwa ni KUDAI KATIBA MPYA....

Hizi unazoleta hapa ni blah blah za kiduwanzi tu

Issue ni Katiba Mpya and everybody knows..

Mbowe eti ni gaidi mtu hana record yeyote na wala hamiliki hata mshale!

Ugaidi ni solutions for thieves and low brained people,Mbowe is high IQ-ed person...

Kwa siasa Mbowe is Michael Jordan of this shit,hakuna cha mama wa la nani anamuweza,all are lightweight bunch!

Hana haja ya kua Gaidi for these group of silly air-heads!
I support. Wajinga wamekwama tena.
 
Wyatt Mathewson jiulize kwa nini wamkamate yeye na siyo wewe au Mimi? Pili jiulize nini kilimkimbiza Dubai baada ya matokeo kutangazwa.

The fact kwamba you aren't informed doesn't entail that I am uninformed as well. You chose to defend a blank target
Ukiwa kiroboto akili zinakuwa ndogo kiasi hiki?? hata vyombo vya ulinzi na usalama vinajua Mbowe kaonewa. Wewe hizo information za Lumumba za kupika umezipata wapi??
Mahakama imeonesha jinsi serikali imeshindwa kutetea tuhuma zake. Akina Kingai wamejipigia pesa ya malipo bure.
 
Tangu lini mahakama inatoa haki! Mbowe huyuhuyu alifungwa na baada ya kukamilisha kifungo mahakama ikasema kuwa slifungwa kimakosa na ndivyo walivyofanyiwa akina Sugu kwa kufungwa bila kosa! Sasa mahakama imekiri kafungwa bila kosa wewe unasema mahakama ndiyo inayotoa haki! Bora unyamaze kama haujui kinachoendelea nchini.
Hivi nchi hii kuna mahakama?? genge la wahuni tu.
 
Mbowe kwenda kwenye meza ya mazungumzo huo Ni upuuzi tu.

Lkn kusema pia huyo Kabendera alikaa vikao 50 na wakina Magu huo Ni uongo uliopitiliza na anajipa ukubwa asionao.

Kama alikuwa na influence ya kuwa na vikao 50 na utawala akiwa lupango, alishindwa nini kuwashawishi wamruhusu kwenda kumzika mama yake?? Huyu ni muongo anatafuta upenyo tu !
 
Mbowe anashitakiwa kwa kesi ya ugaidi sasa izo sarakasi ambazo chadema mnaleta kla sku za kuforce kuwa mbowe yuko ndan kuzima harakat za katiba mpya ni uongo na kutafta huruma/ sapoti ya watu.

Jera jmn sio nzuri tena ni mkosi kwa watu wengne, inayoteseka kwa sasa ni familia ya mbowe ila sisi wengne akuna ajue machungu ya familia na machungu anayopitia Mbowe kla sku
 
Mbowe anashitakiwa kwa kesi ya ugaidi sasa izo sarakasi ambazo chadema mnaleta kla sku za kuforce kuwa mbowe yuko ndan kuzima harakat za katiba mpya ni uongo na kutafta huruma/ sapoti ya watu.

Jera jmn sio nzuri tena ni mkosi kwa watu wengne, inayoteseka kwa sasa ni familia ya mbowe ila sisi wengne akuna ajue machungu ya familia na machungu anayopitia Mbowe kla sku
SSH hata afanye vip, kwa alivyoumbwa, haez kufikia hata robo ya ukatili na ubabe wa dikteta. Aachane na ukatili dhidi ya wanasiasa wenzake, si faani yake.
 
Naomba Chadema mnielewe vyema na mjitafakari Sana kuhusu mjadala ulioanzishwa na Zitto na baadaye Mwandishi wa habari na ndugu yetu Erick Kabendera kuingilia Kati. Kwanza tunapaswa kujua Erick Kabendera ni nani kwenye mfumo wa siasa na amechangia vipi awamu ya tano kuingia madarakani kabla awamu hiyo kumkamata na kumweka ndani.

Erick Kabendera, Januari Makamba, Kinana, Nape na wengine kumbukumbu zinaonyesha wao ndio walioshiriki kuhakikisha kwamba Lowasa anashindwa uchaguzi 2015. Hawa watu ndio walioshirikiana na baadhi ya vijana wa IT kuiba uchaguzi uliomweka madarakani JpM. Nape wiki Ili aliandika kwenye ukurasa wake wa tweeter akijinadi kwamba bila yeye Lowasa angekuwa Ikulu. Alitaka kumwonyesha Polepole kwamba yeye Nape kwenye CCM ni Nani.

Baada ya awamu ya Tano kuingia madarakani JPM Nadhani makubaliano au mategemeo ya akina Kinana yalibadilishwa na ndipo mfumo ulipoanza kupambana nao bila kujali ushiriki wao kwenye Vita ya kuwaungiza madarakani. Walisambaratishwa mmoja baada ya mwingine Hadi ilipozaliwa mfumo mpya. Na hata baada ya kusambaratishwa na kwakuzongatia Bado watu Hawa walikuwa na wafuasi nyuma Yao JPM Nadhani ndipo alipoamua kutowatumia Tena kwenye uchaguzi kama viungo wachezeshaji, in short waliwekwa bench na rigging ya election ikafanyika kwa style tuliojionea.

Kwa kuwa Erick alitambua dhambi iliyokuwa nafsini mwake kuhusu tawala za afrika ilimlazimu kuingia kwenye mazungumzo may be ikiwemo kuomba msamaha kwa sababu anajua wapi alikengeuka. Nimeona kwenye post yake anakiri walifanya vikao zaidi ya 50 na JPM Hadi yeye anatolewa gerezani. Tujiulize Erick ni nani hadi afanyiwe vikao 50 ? Alikosa Nini? Vikao vilihusu Nini? Hakuna aliyejua Erick aliwahi kufanyiwa vikao vya usuluhishi akiwa gerezani hadi Leo alipoandika mwenyewe tweeter. Na kwa muktadha huo lazima tutambue Erick SI mtu mdogo ni mtu mwenye nafasi au alikuwa na nafasi flani kwenye mfumo.

Kwanini nawataadharisha CHADEMA kuhusu Erick, nikwasbabu Mbowe Hana kosa alilotenda lakini Erick alikuwa na makosa yake yakupingana au kushindwa kukubaliana na wenzie alioshirikiana nao kwenye uchaguzi 2015.

Lakini pia nawataadharisha CHADEMA dhidi ya Erick kwa sababu kwa sasa Erick na watawala akina Januari Makamba ni kitu kimoja. Kuwa mwanaharakati sometimes Kuna saidia lakini lazima tuwaangalie vyema hawa wanaotumwa kujadili hoja ya maridhiano wanatumwa na Nani? Kukubaliana nao sometimes nikukubali kununua haki Yako.

Erick na Zitto wamewahi kupingana na utawala uliopo kwa chochote? Means kwa Sasa hawa pia ni watawala ila hawana nafasi zinazoonekana Kwa macho. Madhara ya Mbowe kwenda kwenye mazungumzo kwa kuwasikiliza akina Erick nikufungua milango ya kuzimwa kwa agenda ya katiba mpya iliyopelekea Mbowe awe ndani Leo. Lakini majadiliano yenye masharti upelekea uliyekubaliana naye kukudhibiti kwa masharti yale Yale .

Nikubaliene n wanaounga MKONO kwamba waliomweka Mbowe ndani ndio wenye makosa na ndio wenye maamuzi afungwe au afutiwe Kesi. Endapo tukiruhusu majadiliano tukubaliane na masharti ya majadiliano, lakini kwa kuwa tunaamini kama Taifa kuwa Mbowe Hana kosa basi tubaiki na msimamo wetu kwamba tuache mahakama iamue kumfunga lakini tubaki na moyo thabiti wakuendeleza mapambano dhidi ya demokrasia.

Hatuwezi tukafanya mazungumzo kuhusu mwenyekiti tukawa na nguvu yakuwanyamazisha akina mdee, lazima tutalazimika kufanya mazungumzo nao. Tuache wakosaji wafanye wazungumzo, MBOWE SIYO MKOSAJI.
Mungu akubariki

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa kiroboto akili zinakuwa ndogo kiasi hiki?? hata vyombo vya ulinzi na usalama vinajua Mbowe kaonewa. Wewe hizo information za Lumumba za kupika umezipata wapi??
Mahakama imeonesha jinsi serikali imeshindwa kutetea tuhuma zake. Akina Kingai wamejipigia pesa ya malipo bure.
Wewe Pythagoras ni mende kichwa yako haina uwezo wa kukaa na ubongo. Soma tu na usepe
 
Mbowe anashitakiwa kwa kesi ya ugaidi sasa izo sarakasi ambazo chadema mnaleta kla sku za kuforce kuwa mbowe yuko ndan kuzima harakat za katiba mpya ni uongo na kutafta huruma/ sapoti ya watu.

Jera jmn sio nzuri tena ni mkosi kwa watu wengne, inayoteseka kwa sasa ni familia ya mbowe ila sisi wengne akuna ajue machungu ya familia na machungu anayopitia Mbowe kla sku
Unataka Chadema wafanyaje ili mtu mwenye kesi ya Ugaidi atoke?
 
Naomba Chadema mnielewe vyema na mjitafakari Sana kuhusu mjadala ulioanzishwa na Zitto na baadaye Mwandishi wa habari na ndugu yetu Erick Kabendera kuingilia Kati. Kwanza tunapaswa kujua Erick Kabendera ni nani kwenye mfumo wa siasa na amechangia vipi awamu ya tano kuingia madarakani kabla awamu hiyo kumkamata na kumweka ndani.

Erick Kabendera, Januari Makamba, Kinana, Nape na wengine kumbukumbu zinaonyesha wao ndio walioshiriki kuhakikisha kwamba Lowasa anashindwa uchaguzi 2015. Hawa watu ndio walioshirikiana na baadhi ya vijana wa IT kuiba uchaguzi uliomweka madarakani JpM. Nape wiki Ili aliandika kwenye ukurasa wake wa tweeter akijinadi kwamba bila yeye Lowasa angekuwa Ikulu. Alitaka kumwonyesha Polepole kwamba yeye Nape kwenye CCM ni Nani.

Baada ya awamu ya Tano kuingia madarakani JPM Nadhani makubaliano au mategemeo ya akina Kinana yalibadilishwa na ndipo mfumo ulipoanza kupambana nao bila kujali ushiriki wao kwenye Vita ya kuwaungiza madarakani. Walisambaratishwa mmoja baada ya mwingine Hadi ilipozaliwa mfumo mpya. Na hata baada ya kusambaratishwa na kwakuzongatia Bado watu Hawa walikuwa na wafuasi nyuma Yao JPM Nadhani ndipo alipoamua kutowatumia Tena kwenye uchaguzi kama viungo wachezeshaji, in short waliwekwa bench na rigging ya election ikafanyika kwa style tuliojionea.

Kwa kuwa Erick alitambua dhambi iliyokuwa nafsini mwake kuhusu tawala za afrika ilimlazimu kuingia kwenye mazungumzo may be ikiwemo kuomba msamaha kwa sababu anajua wapi alikengeuka. Nimeona kwenye post yake anakiri walifanya vikao zaidi ya 50 na JPM Hadi yeye anatolewa gerezani. Tujiulize Erick ni nani hadi afanyiwe vikao 50 ? Alikosa Nini? Vikao vilihusu Nini? Hakuna aliyejua Erick aliwahi kufanyiwa vikao vya usuluhishi akiwa gerezani hadi Leo alipoandika mwenyewe tweeter. Na kwa muktadha huo lazima tutambue Erick SI mtu mdogo ni mtu mwenye nafasi au alikuwa na nafasi flani kwenye mfumo.

Kwanini nawataadharisha CHADEMA kuhusu Erick, nikwasbabu Mbowe Hana kosa alilotenda lakini Erick alikuwa na makosa yake yakupingana au kushindwa kukubaliana na wenzie alioshirikiana nao kwenye uchaguzi 2015.

Lakini pia nawataadharisha CHADEMA dhidi ya Erick kwa sababu kwa sasa Erick na watawala akina Januari Makamba ni kitu kimoja. Kuwa mwanaharakati sometimes Kuna saidia lakini lazima tuwaangalie vyema hawa wanaotumwa kujadili hoja ya maridhiano wanatumwa na Nani? Kukubaliana nao sometimes nikukubali kununua haki Yako.

Erick na Zitto wamewahi kupingana na utawala uliopo kwa chochote? Means kwa Sasa hawa pia ni watawala ila hawana nafasi zinazoonekana Kwa macho. Madhara ya Mbowe kwenda kwenye mazungumzo kwa kuwasikiliza akina Erick nikufungua milango ya kuzimwa kwa agenda ya katiba mpya iliyopelekea Mbowe awe ndani Leo. Lakini majadiliano yenye masharti upelekea uliyekubaliana naye kukudhibiti kwa masharti yale Yale .

Nikubaliene n wanaounga MKONO kwamba waliomweka Mbowe ndani ndio wenye makosa na ndio wenye maamuzi afungwe au afutiwe Kesi. Endapo tukiruhusu majadiliano tukubaliane na masharti ya majadiliano, lakini kwa kuwa tunaamini kama Taifa kuwa Mbowe Hana kosa basi tubaiki na msimamo wetu kwamba tuache mahakama iamue kumfunga lakini tubaki na moyo thabiti wakuendeleza mapambano dhidi ya demokrasia.

Hatuwezi tukafanya mazungumzo kuhusu mwenyekiti tukawa na nguvu yakuwanyamazisha akina mdee, lazima tutalazimika kufanya mazungumzo nao. Tuache wakosaji wafanye wazungumzo, MBOWE SIYO MKOSAJI.
NAUNGA MKONO HOJA. MBOWE KAMA MANDELA.
 
Back
Top Bottom