Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Wakuu Habarini Za jioni poleni kwa changamoto za hapa na pale niende moja kwa moja kwenye Mada :...
Nimemaliza chuo mwaka Jana fani ya education art, sikuwai kukutana na SUP wala carry.
Balaa lipo huku mtaani nimekuja nimeanzisha vibiashara kabla ya kusaka ajira hata private schools lakini kwa Sasa nilipofikia nawiwa kusaka ajira ili kupanua wigo wa pesa.
Najiuliza kwanini nashindwa Ku adjust maisha huku mtaani? Kama nilivyopasua kule chuoni? Hapa nimepanga kwa wazazi nishatoka saiv nipo najitegemea.
Naomba mnipime IQ yangu kutokana na maelezo yangu hapo.
Nimemaliza chuo mwaka Jana fani ya education art, sikuwai kukutana na SUP wala carry.
Balaa lipo huku mtaani nimekuja nimeanzisha vibiashara kabla ya kusaka ajira hata private schools lakini kwa Sasa nilipofikia nawiwa kusaka ajira ili kupanua wigo wa pesa.
Najiuliza kwanini nashindwa Ku adjust maisha huku mtaani? Kama nilivyopasua kule chuoni? Hapa nimepanga kwa wazazi nishatoka saiv nipo najitegemea.
Naomba mnipime IQ yangu kutokana na maelezo yangu hapo.