Nasikia ndiyo wamehamia. Baadhi yao wameanza kununua maeneo kwa ajili ya kilimo na kujenga.Binafi nakutana nao wengi sana Maeneo ya Ununio na saivi hata nikienda Malls haswa Mlimani City nakutana nao wengi sana sasa sijui ni watalii au ndio wamehamia maana idadi yao kama siyo ya kawaida.
Yeah inawezekana..sababu wengi nafahamu wapo sana Arusha na Iringa pia. Acha waje kutuchangamsha.Nasikia ndiyo wamehamia.Baadhi yao wameanza kununua maeneo kwa ajili ya kilimo na kujenga.
Nahisi utoto au kukosa maana ya "No research No right to Talk"JPM ndani kibanda cha mabati na Nyasi kavu!
Binafi nakutana nao wengi sana Maeneo ya Ununio na saivi hata nikienda Malls haswa Mlimani City nakutana nao wengi sana sasa sijui ni watalii au ndio wamehamia maana idadi yao kama siyo ya kawaida.
Comin home journey, ya real we are backing home to our roots.,...Binafi nakutana nao wengi sana Maeneo ya Ununio na saivi hata nikienda Malls haswa Mlimani City nakutana nao wengi sana sasa sijui ni watalii au ndio wamehamia maana idadi yao kama siyo ya kawaida.
Karibu sana..Bongo hakuna MatataComin home journey, ya real we are backing home to our roots.,...
Ni kweli mkuuNimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Mkuu wamarekani weusi ni watu muhimu sana hapa tanzania kwenye vita ya kiuchumi. wana experience sana kwenye mambo mengi na wana exposure ya dunia. Ila wabongo tunaogopa kuwapa nafasi za uongozi kwa kuhofia watatuchallenge kwenye vinafasi vyetu vya kupatia ugaliChunga wasikue Ni wakenya,Kizungu Yao swafi
🤣🤣🤣JPM ndani kibanda cha mabati na Nyasi kavu!