falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
Hehehehehe aiseee wako wengi sana tena sana
Tushachelewa huko mikoani ujenzi holela unaendelea kwa kasi ya kutisha.Tatizo liko wapi boss? Kama sisi tumeshindwa kuweka mipango miji ya kueleweka kosa ni la kwetu, huwezi kulazimisha mtu akae uswazi ambapo jengo likishika moto hata zimamoto lishindwe kufika huko. Haiwezekani mtu alazimishwe kukaa sehemu ya hovyo kisa uzalendo.
Kiufupi hii Dar inatakiwa ipangwe upya ipangike, jiji limekaa kiwakiwaki sana.
Hapo suluhisho ni kuvunja uswazi zote jijini, unapandisha apartments wale waliovunjiwa unawapa kipaumbele cha kwanza kupewa vyumba.
Tukishindwa hilo basi tuipime ardhi ya nchi nzima kuzuia kilicho tokea huku Dar kusambaa nchi nzima miaka ijayo.
Hatujachelewa kihivyo, nchi ndio kwanza ina watu milioni 60 ukilinganisha na Nigeria milioni 200 huko. Tukianza sasa au ndani ya miaka mitano, itakuwa safi.Tushachelewa huko mikoani ujenzi holela unaendelea kwa kasi ya kutisha.
Waje tu ila serikali ijipange zaidi kuwavuna utaalam na ujuzi walionao kusaidia kupunguza ujinga uliopo nchini. Yale maeneo ambayo serekali imeshindwa kupeleka waalimu waende wakajitolee kufundisha, michezo, sanaa n.k. Wasiishie tu mijini 'kula bata'
Kwani unasemaje mkuu ni urongo au?Yaan kweli tuna watanzania hii nchi!! Cheki huyu!!
Kuna huyu anaishi arusha,ameanza kufundisha arts,ni muda mzuri sana wa kuwatumia hawa,serikali isiwaache hivi hivi
Serekali yetu inashindwa kabisa kujipambanua, wanasiasa wametegesha matumbo yao kuvizia pesa za wizi, misaada na rushwa. Sijui ni laana ama ni niniHatujachelewa kihivyo, nchi ndio kwanza ina watu milioni 60 ukilinganisha na Nigeria milioni 200 huko. Tukianza sasa au ndani ya miaka mitano, itakuwa safi...
Hawamjui Meko vizuriKweli kabisa na wajamaika pia.
Nishakutana nao wengi sana na wengine wapo youtube wana page zao wana stream.
Wengi walisikitika sana meko alivyokufa
Kweli wamejaa, ila hawana hela ni wale homeless wa kule wamehamia bongo
Kazi ya maana hawana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile a
Sasa bongo maisha ni rahisi kwao cause wanalipwa mpunga mrefu alafu gharama za kuishi zipo chini. Halafu bongo hamna mchakamchaka kama wa maisha kama mtoni. So kufanya kazi ubalozini ni kama Vacation kwaowatu hawaamini ila ndio ukweli unashangaza sana.
juzi naongea na jamaa mmoja anafanya kazi ubarozi,anakwambia hakuna kitu kigumu kama afisa wa ubarozi humo kuambiwa anatakiwa aondoke nyumbani muda umekwisha,huwa wanalia sana...
mtu kunyong'onyea inaweza kuwa kawaida,ila anapolia kabisa ndipo maajabu yalipo.Sasa bongo maisha ni rahisi kwao cause wanalipwa mpunga mrefu alafu gharama za kuishi zipo chini.
Alafu bongo hamna mchakamchaka kama wa maisha kama mtoni. So kufanya kazi ubalozini ni kama Vacation kwao
Huyu kaacha Deni la zaidi ya laki 7 home maana tuna Hostel za wageni.
Wabongo sio kila anaetoka ng'ambo ana hela wengine Ni njaa. Nina experience Sana na Hawa watu maana home tuna Hostel za wageni ...
Nawaomba muwafuate wamiliki wa hostels za wageniuwaulizie tabia za Black Americans, katika black Americans 10, 7 Ni wajanja wajanja. Naongea kwa experience.
Nimepokea wageni wengi blacks kutoka USA , Hawa jamaa hawana tofauti na sisi wa Buguruni ujanja ujanja mwingi ... Nendeni Zanzibar muulize hili kwa watu wa utalii.
So kuweni makini na Hawa BlacksView attachment 1814889