funluverx
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 480
- 342
Tusisahau pia Mbunge aliempoka nafasi 'Sauti ya zege' kule KAHWEH nae aliwaahidi Wapiga kura wake kuwa atawapekela hukohuko kwa 'Trump' enzi zile na akapewa nafasi kweli.Wapo sema kumeibuka wimbi la wanigeria wanatumia ushamba wa baadhi ya dada zetu kwa kuiga rafudhi na swaga za kimarekani na kuwanyandua wakiwapromise American dream.
Sasa mimi binafsi sijapita jimbo hilo muda sasa sijui wameshapaa?