Naomba Nijuzwe kama ni kweli kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi

Wapo sema kumeibuka wimbi la wanigeria wanatumia ushamba wa baadhi ya dada zetu kwa kuiga rafudhi na swaga za kimarekani na kuwanyandua wakiwapromise American dream.
Tusisahau pia Mbunge aliempoka nafasi 'Sauti ya zege' kule KAHWEH nae aliwaahidi Wapiga kura wake kuwa atawapekela hukohuko kwa 'Trump' enzi zile na akapewa nafasi kweli.
Sasa mimi binafsi sijapita jimbo hilo muda sasa sijui wameshapaa?
 
Tusisahau pia Mbunge aliempoka nafasi 'Sauti ya zege' kule KAHWEH nae aliwaahidi Wapiga kura wake kuwa atawapekela hukohuko kwa 'Trump' enzi zile na akapewa nafasi kweli.
Sasa mimi binafsi sijapita jimbo hilo muda sasa sijui wameshapaa?
Wakafe kwa corona
 
Kwanza huna adabu, tatizo watanzania tunataka kupata utajiri kwa haraka. Tunataka tuwaibie ndio maana tunawapenda wazungu. Na hao wazanzibar unawasema wewe wanawapenda wazungu hasa wakike ili wapate vitonga.

Black Americans hapa ni kwao ni muda sasa wa kuwawekea mazingira ya kurejea na kuja tujenge uchumi wa nchi.
We ni mjinga zoba wewe.

Hao unaowasemea hapa unaishia kuwaona kwenye movie za Van Damme wakati sisi Tunaishi nao kitaa. Ng'ombe wewe.
 
Ni kweli wengi sana wamehamia bongo au wapo kwa muda. Ukiingia youtube utawaona kibao, nilichogundua lakini wengi wao hawajajipanga na hawana jambo la maana wengi wanaishia kuwa youtuber tu kuonyesha hali ya maisha ya africa vs US ni kama trend fulani huko kwao wanajisifia sana kuja africa (wenyewe wanaita motherland).

Wengi wao ukifuatilia wanasema wamekimbia ukandamizwaji wa watu weusi huko kwa Biden (police brutality) na ubaguzi. Lakini kipindi hiki cha c19 wengi wamekimbilia sababu ndio nchi pekee ambayo haina lockdown au masharti ya kukaa ndani.

Kwa ujumla kuna wimbi la wamarekani weusi kuja afrika.

Youtube wamejaa, cheki huyu mmoja.

 
Hayo ni maneno tu vijiweni ukiweka ushahidi itapendeza
Kuna Gazeti LA Daily news mwaka juzi mwishoni lilikua na hiyo habari, wengi wanarudi katika nchi za kiafrika.
Sababu ni usalama wao na watoto wao
 
Mkuu wamarekani weusi ni watu muhimu sana hapa tanzania kwenye vita ya kiuchumi.wana experience sana kwenye mambo mengi na wana exposure ya dunia. Ila wabongo tunaogopa kuwapa nafasi za uongozi kwa kuhofia watatuchallenge kwenye vinafasi vyetu vya kupatia ugali
Waafrika tuliozaliwa Africa tuna akili nyingi sana kuliko hao watu
 
Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Wapo mkuu.Kigamboni kuanzia Kimbiji Mpaka Buyuni wamenunua viwanja Sana.
 
Back
Top Bottom