Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 643
Habari za leo,
Kumekua na thread nyingi zinazohusiana na biashara ya bajaj na pikipiki.
Nyingi zikijikita katika mambo ya uendeshaji wa vyombo hivyo na uuzaji wake wa spare parts.
Lakini sijakutana bado na thread inayoongelea kuhusiana na bei za vyombo hivi (uhakika) maduka vinapouzwa n.k
Hivyo, kwa faida ya wengi, leo ningeomba kuuliza maswali haya machache, kisha nitashukuru kupata mrejesho kutoka kwa wataalamu wanaoelewa
1. Bei ya TVS king (maarufu kama bajaj) pamoja na pikipiki, tvs na boxer ni bei gani?
2. Je, ikiwa mtu anahitaji kufanya biashara ya kuuza vyombo hivi. Taratibu ni zipi za kufuata na wapi anapoweza kwenda kununua mzigo?
Vipi kuhusiana na bei ya huko anapokwenda kununulia mzigo (Bei ya kununulia mzigo) ni kiasi gani na ni maduka gani?
3. Idadi ya pcs unazotakiwa kuchukua ni kiasi gani.?!
Naamini uzi huu utakua msaada kwa wengi, nitashukuru kwa maoni yenu yenye majibu juu ya maswali hayo na hata zaidi.
Nashukuru
Kumekua na thread nyingi zinazohusiana na biashara ya bajaj na pikipiki.
Nyingi zikijikita katika mambo ya uendeshaji wa vyombo hivyo na uuzaji wake wa spare parts.
Lakini sijakutana bado na thread inayoongelea kuhusiana na bei za vyombo hivi (uhakika) maduka vinapouzwa n.k
Hivyo, kwa faida ya wengi, leo ningeomba kuuliza maswali haya machache, kisha nitashukuru kupata mrejesho kutoka kwa wataalamu wanaoelewa
1. Bei ya TVS king (maarufu kama bajaj) pamoja na pikipiki, tvs na boxer ni bei gani?
2. Je, ikiwa mtu anahitaji kufanya biashara ya kuuza vyombo hivi. Taratibu ni zipi za kufuata na wapi anapoweza kwenda kununua mzigo?
Vipi kuhusiana na bei ya huko anapokwenda kununulia mzigo (Bei ya kununulia mzigo) ni kiasi gani na ni maduka gani?
3. Idadi ya pcs unazotakiwa kuchukua ni kiasi gani.?!
Naamini uzi huu utakua msaada kwa wengi, nitashukuru kwa maoni yenu yenye majibu juu ya maswali hayo na hata zaidi.
Nashukuru