Mtu ni watu
Member
- Mar 27, 2018
- 42
- 38
Naomba nafasi ya kujitolea au kazi katika kampuni za vyakula na vinywaji nimesoma degree of food science and technology
-Nina uzoefu wa kufanya kazi za maabara kutokana na kufanya majaribio ya vitendo katika sehemu hio pia kutokana na elimu niliyonayo naweza kufanya kazi zingine zinazoendana na food science and technology
Tafadhali naombeni mnisaidie,
Asanteni.
-Nina uzoefu wa kufanya kazi za maabara kutokana na kufanya majaribio ya vitendo katika sehemu hio pia kutokana na elimu niliyonayo naweza kufanya kazi zingine zinazoendana na food science and technology
Tafadhali naombeni mnisaidie,
Asanteni.