Ndugu wanachadema wenzangu jana tulishuhudia Kamanda mwenzetu Edward Lowasa akienda kuchukua fomu ya kugombea uraisi kupitia chama chetu huku akisindikizwa na viongozi wakuu wa chama.
kama ilivyo demokrasia,haki na wajibu wa kila raia..
kesho naenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi kupitia chama changu cha chadema.Hivyo ninaomba viongozi wakuu wa chama wanisindikize katka safari yangu hiyo kama walivyofanya kwa mheshimiwa lowasa.my aim is to transform Tanzania to the next level..Asanteni sana
kama ilivyo demokrasia,haki na wajibu wa kila raia..
kesho naenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi kupitia chama changu cha chadema.Hivyo ninaomba viongozi wakuu wa chama wanisindikize katka safari yangu hiyo kama walivyofanya kwa mheshimiwa lowasa.my aim is to transform Tanzania to the next level..Asanteni sana