baby nillaah
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 110
- 64
Habarini wapendwa
Naomba mwenye ufaham kuhusu hii biasahara ya uuzaji wa nywele anifahamishe je ni wapi nitapata kwa bei rahisi na mtaji natakiwa nianze na kiasi gani?
Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mwenye ufaham kuhusu hii biasahara ya uuzaji wa nywele anifahamishe je ni wapi nitapata kwa bei rahisi na mtaji natakiwa nianze na kiasi gani?
Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app