Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,844
- 2,665
Kuna mdau kaniambia katika majadiliano kuwa mseto hauwezekani bara kwa vile chama chenye wabunge wengi ndicho kinaunda serikali. Sasa pamoja na hayo chama tawala hakina mamlaka kuteua mawaziri toka upinzani kisa wana viti vingi au sheria inawabana?