PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 376
- 735
Naomba ushauri kwa wazoefu, mtaji wangu ni mil 6
1. Kwa kuwa mtaji ni mdogo, je nianze na vitu gan ambavyo vinatoka mara kwa mara
2. Nipo mkoani (moshi) ni wapi nitapata chimbo la hizo spea kwa bei nafuu
3. Ushauri tafadhali
1. Kwa kuwa mtaji ni mdogo, je nianze na vitu gan ambavyo vinatoka mara kwa mara
2. Nipo mkoani (moshi) ni wapi nitapata chimbo la hizo spea kwa bei nafuu
3. Ushauri tafadhali