Sir R JF-Expert Member Oct 23, 2009 2,175 298 Jul 29, 2011 #1 kuna tabia ya baadhi ya wabunge hasa toka CCM wana tabia ya kulala wakati session ya ikiendelea. Wanaudhi sana, wamebadilisha viti kuwa vitanda. Naomba mwongozo wenu kwa hawa waheshimiwa.
kuna tabia ya baadhi ya wabunge hasa toka CCM wana tabia ya kulala wakati session ya ikiendelea. Wanaudhi sana, wamebadilisha viti kuwa vitanda. Naomba mwongozo wenu kwa hawa waheshimiwa.