Naomba mwongozo kwa vijana waliomaliza chuo na kutakiwa kujiunga JKT

Troojan

JF-Expert Member
Oct 8, 2012
967
666
Wanabodi: Binti yangu amemaliza form 6, sasa linakuja suala la kwenda JKT aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko.

Ninayo yaona kwa wale vijana uko jkt yanaogopesha sana kama mzazi..isitoshe kapangiwa kigoma uko...yaan naona kama namtupa mtoto
 
wanabodi: bint yangu amemaliza form 6..sasa linakuja suala la kwenda jkt..aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa...sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko..ninayo yaona kwa wale vijana uko jkt yanaogopesha sana kama mzazi..isitoshe kapangiwa kigoma uko...yaan naona kama namtupa mtoto
Muache apambane aende tuu,mpe ushauri mwema kama mzazi.
 
wanabodi: bint yangu amemaliza form 6..sasa linakuja suala la kwenda jkt..aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa...sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko..ninayo yaona kwa wale vijana uko jkt yanaogopesha sana kama mzazi..isitoshe kapangiwa kigoma uko...yaan naona kama namtupa mtoto
Mkuu, hakuna madhara yoyote asipoenda. Kwa upande wangu mtoto wa kike kwenda jeshini huwa sikubaliani nalo kabisa. Kule kuna mavitu ambayo hayaeleweki. BTW kama yuko tayari yeye mwenyewe mruhusu aende.
 
yaaan angekua wa kiume ningejitoa muhanga.ila huyu aiseee hapana..staki kukaa miezi 3 sina amani ya moyo.
Muache aende akajifunze maisha. Wazazi tuwafundishe Watoto Wetu kujitegemea na kuhustle.

Mtoto kamaliza Form 6 soon anaingia chuo huyo Ni binti kabisa. Anafaa ayajue maisha na kupambana nayo, sio kula ugali na kubadilisha Chanel za Tv
 
Mwaka 2019 sikwenda kwa mujibu. Wanachonizidi walioenda ni matusi tu ambayo nikitaka kuyajua mtaani nitajua. Mengine yote hakuna kitu cha ajabu, kama ni shida hazizoeleki ukizipata unafanya adaptation.

Kama JKT wakujitolea wanakaa miaka minne uko wakitoka wanakuwa dormant hawawezi kujiajiri sembuse mtu aliyekaa kwa mujibu miezi miwili. Hana maajabu
 
wanabodi: bint yangu amemaliza form 6..sasa linakuja suala la kwenda jkt..aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa...sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko..ninayo yaona kwa wale vijana uko jkt yanaogopesha sana kama mzazi..isitoshe kapangiwa kigoma uko...yaan naona kama namtupa mtoto
Usimruhusu aende Kama unampenda mwanao hamna uhusiano wowote kati ya kwenda chuo na jkt wala attachment zaidi ya upuuzi...

Mimi sikwenda jkt nipo kazini wapo mwaka 2012 walienda ndio hao wanaosota mtaani Mana walimaliza chuo 2015 wengine 2016 ...

Nakazia USiMRUHUSU ATARUDI MZOGA...

Nalog off
 
Muache aende akajifunze maisha. Wazazi tuwafundishe Watoto Wetu kujitegemea na kuhustle.

Mtoto kamaliza Form 6 soon anaingia chuo huyo Ni binti kabisa. Anafaa ayajue maisha na kupambana nayo, sio kula ugali na kubadilisha Chanel za Tv
najaribi kuwaza hao walioenda uko na kirudi wanamaajabu gani??hebu mwenye uzoefu anisaidie
 
wanabodi: bint yangu amemaliza form 6..sasa linakuja suala la kwenda jkt..aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa...sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko..ninayo yaona kwa wale vijana uko jkt yanaogopesha sana kama mzazi..isitoshe kapangiwa kigoma uko...yaan naona kama namtupa mtoto

Mkuu bora asiende. Kumbuka rais wa Zanzibar japo aliwahi kuwa mbunge bara kikombe hicho alikiepuka.

Vivyo hivyo kwa wazanzibari.

Habari ndiyo hiyo.
 
asiende....narudia tena ASIENDE...Ukiuliza takwimu za waliokufa kwa kuambukizwa ukimwi wakiwa JKT zinatisha, uliza takwimu za maafande wanaokufa kwa ukimwi..mbaya mno...
Maafande wengi wamaeondoka kwa ajili ya Ngoma. wakipata mshahara basi afande yuko radhi ampe mwanamke mshahara wote halafu yeye anahemea pororo na kula kikosini. Mwee!! Nilikuwa nawaonea huruma waliobakwa especially wakidakwa wakati wanajongo!!

alisikika
kichaa mmoja.....
 
Kwa upande wangu sio rahisi kumruhusu binti yangu aende kwa mujibu wa sheria,kama atataka kwenda kujitolea sawa,mabinti wanaoenda mafunzo kwa Mujibu wa sheria,unyanyasaji wa kingono ni nje nje,ma services wanajisevia,ma kamanda wanajisevia kama njugu,na vile wanajua ni wapitaji basi balaa tupu,afadhali kidogo kwa kujitolea binti akijilegeza ndo analiwa lakini akikaza hakuna wa kumlazimisha,ila kwa mujibu ni mtihani sana
 
Habari!Naombeni ufafanuzi kwa Alie maliza Chuo jinsi ya kujiunga JKT Ni mpaka watangaze nafasi za kujitolea au ?
 
Back
Top Bottom