Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 209
- 691
πΌπππ ππππππ πππππ, ππππ πππππππππ πΊπππππ 821ππ ππππππππ πππ£π ππ ππ£π πππππ ππ ππππ πππ πππ ππππ πππππππππWanabodi: Binti yangu amemaliza form 6, sasa linakuja suala la kwenda JKT aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko.
Ninayo yaona kwa wale vijana uko jkt yanaogopesha sana kama mzazi..isitoshe kapangiwa kigoma uko...yaan naona kama namtupa mtoto