Naomba mwongozo kwa vijana waliomaliza chuo na kutakiwa kujiunga JKT

najaribi kuwaza hao walioenda uko na kirudi wanamaajabu gani??hebu mwenye uzoefu anisaidie
Girlfriend wangu nilimpeleka mwenyewe pale Ruvu JKT, tulikuwa tunadate A level tukamaliza tukapanga hatuendi jeshi. Mimi nikafika mtaani nikakaa wiki nikaunga somewhere nipige kazi moja inahitaji muda sana. Yeye baada ya muda kidogo alitamani akaenda. Wakati wa kwenda nilikaa nae siku mbili tukanunua mahitaji yote nikamsindikiza mpaka kule.

Uko alitoroka mara tatu kuja mtaani. Alipata mabwana kibao akawa janjajanja, baada ya hapo maboyfriend anaofatisha wote wanasoma jeshini, labda kama hiyo ndio faida. Tofauti na hiyo nikitafuta faida ya yeye kwenda kule sioni.

Wapo rafiki zangu wengi wameenda uko ila mpaka leo faida za kwenda zisioni. Nina wengine hatukwenda tukakomaa mtaani, wakati wanalala maporini uko nikajichanga nikapata faida ya 1M+, mwingine akaunga nguvukazi kwenye mradi wa kuku akapata 2M, mwingine alifanya miradi ya baba yake na kuja na 700k ila matumizi yake makubwa huyu. Hiki kipindi cha kusubiri chuo, waliporudi wale wakakuta tushazoea mitaa hata chuo maisha yalianza safi wao wakaja wanatukana tu basi.

Watoto wa kike wote walioenda uko hamna kitu ya maana wamepata. Wengine walitoroka hawakumaliza, wengine waliteswa.
 
Yaan huko ataliwa mbele na nyuma atarudi anatembea upande upande halfu atakwambia ni mazoez makali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mwaka 2019 sikwenda kwa mujibu. Wanachonizidi walioenda ni matusi tu ambayo nikitaka kuyajua mtaani nitajua. Mengine yote hakuna kitu cha ajabu, kama ni shida hazizoeleki ukizipata unafanya adaptation.

Kama JKT wakujitolea wanakaa miaka minne uko wakitoka wanakuwa dormant hawawezi kujiajiri sembuse mtu aliyekaa kwa mujibu miezi miwili. Hana maajabu
Kule faida ni matusi tu, Hakuna kitu cha maana.
 
Shida ni mda wanaokaa kwakweli miezi mitatu ni michache sana yaani labda ajue kuimba chenja tu bora zamani sa hivi ni dilute mno,wanaingia leo kesho wanaanza kwenda shamba(uzalendo wiki)cozi ikianza six weeks zinaishia shambani(yaani ni full burudani)
 
Mwaka 2019 sikwenda kwa mujibu. Wanachonizidi walioenda ni matusi tu ambayo nikitaka kuyajua mtaani nitajua. Mengine yote hakuna kitu cha ajabu, kama ni shida hazizoeleki ukizipata unafanya adaptation.

Kama JKT wakujitolea wanakaa miaka minne uko wakitoka wanakuwa dormant hawawezi kujiajiri sembuse mtu aliyekaa kwa mujibu miezi miwili. Hana maajabu
Na hayo matusi hayatazidi mwezi yatakuwa yamesahulika kiufupi hamna cha maana
 
Nilishajiapiza Binti yangu hata hizi Shule zinazosimamiwa na Jeshi hatokanyaga, achilia mbali kwenda huko Kambini Kwa Mujibu.

Maafande wana tabia ya kuwarubuni Mabinti Kwa gia ya kuwasaidia Ku-dodge mazoezi na adhabu za Kijeshi. Na Mabinti wengi hukubali kuliwa ili maisha yao mule yawe malaini.

Binti akiingia Kambini atatoka bila kuliwa iwapo tu havutii, otherwise ataliwa tu bila kujali amependa ama hajapenda.
 
Nilishajiapiza Binti yangu hata hizi Shule zinazosimamiwa na Jeshi hatokanyaga, achilia mbali kwenda huko Kambini Kwa Mujibu.

Maafande wana tabia ya kuwarubuni Mabinti Kwa gia ya kuwasaidia Ku-dodge mazoezi na adhabu za Kijeshi. Na Mabinti wengi hukubali kuliwa ili maisha yao mule yawe malaini.

Binti akiingia Kambini atatoka bila kuliwa iwapo tu havutii, otherwise ataliwa tu bila kujali amependa ama hajapenda.
We kule mapenzi ni kama fasheni yaani kila mtu na wake afu si unajua tena wanaume wanakuwa wengi basi utashangaa mdada kawapanga hata watano,ni taabu kweli kweli
 
Nilishajiapiza Binti yangu hata hizi Shule zinazosimamiwa na Jeshi hatokanyaga, achilia mbali kwenda huko Kambini Kwa Mujibu.

Maafande wana tabia ya kuwarubuni Mabinti Kwa gia ya kuwasaidia Ku-dodge mazoezi na adhabu za Kijeshi. Na Mabinti wengi hukubali kuliwa ili maisha yao mule yawe malaini.

Binti akiingia Kambini atatoka bila kuliwa iwapo tu havutii, otherwise ataliwa tu bila kujali amependa ama hajapenda.
Ilo la kupenda au kutopenda hiyo ilikuwa zamani sa hivi mtoto wa kike jeshini analindwa mno kuliko hata dhahabu hakuna ukatili wowote anaweza fanyiwa isipokuwa aamue mwenyewe na sana sana wale wanaopenda mteremko na kujishobokesha kwa makamanda ndo wanapata kadhi hyo(mambo ya kudhalilishana nadhani ilikuwa zamani sana na sasa hivi elimu za mara kwa mara zinatolewa kambini sema watoto ni vichwa maji
 
Wanabodi: Binti yangu amemaliza form 6, sasa linakuja suala la kwenda JKT aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko.

Ninayo yaona kwa wale vijana uko jkt yanaogopesha sana kama mzazi..isitoshe kapangiwa kigoma uko...yaan naona kama namtupa mtoto
Kwan ushauli wangu nakuomba umuache binti yako akapate mafunzo ya JKT, kiukweli ktk jamii imejengeka mentality yakwamba jeshini wanaenda kufa lakini ukweli nikwamba kule wanaenda kufundishwa uzarendo na uwajibikaji+ujasliamali, MLUHUSU BINTI YAKO AENDE
 
Kwa upande wangu sio rahisi kumruhusu binti yangu aende kwa mujibu wa sheria,kama atataka kwenda kujitolea sawa,mabinti wanaoenda mafunzo kwa Mujibu wa sheria,unyanyasaji wa kingono ni nje nje,ma services wanajisevia,ma kamanda wanajisevia kama njugu,na vile wanajua ni wapitaji basi balaa tupu,afadhali kidogo kwa kujitolea binti akijilegeza ndo analiwa lakini akikaza hakuna wa kumlazimisha,ila kwa mujibu ni mtihani sana
Bahati nzuri nimepita huku,unachokizungumza si sahihi kabisa,iwe mujibu wa sheria au kujitolea,binti akipenda short cut ataliwa kweli,ukiona binti ameliwa huko ujue ametaka mwenyewe, huwezi kulazimishwa,mfano kuna chakula kinapikwa kwa ajili ya wote,wewe unataka chakula tofauti na hiko, na pesa za kuunga unga ulizokuwa nazo, tegemea utapata wa kukununulia tu mwisho wa siku na chupi atavuliwa tu.
 
Ilo la kupenda au kutopenda hiyo ilikuwa zamani sa hivi mtoto wa kike jeshini analindwa mno kuliko hata dhahabu hakuna ukatili wowote anaweza fanyiwa isipokuwa aamue mwenyewe na sana sana wale wanaopenda mteremko na kujishobokesha kwa makamanda ndo wanapata kadhi hyo(mambo ya kudhalilishana nadhani ilikuwa zamani sana na sasa hivi elimu za mara kwa mara zinatolewa kambini sema watoto ni vichwa maji
Sahihi kabisa,wengi wanaoliwa ni wale wasiotaka kufata taratibu za kijeshi,mfano wameambiwa kesho kuna mbio ndefu,yeye ataenda kwa daktari akafoji ugonjwa ili asikimbie, mwisho wa siku daktari naye ni mwanaume anampa mapumziko siku 2 ,na kuomba mzigo hapo hapo.ataanzaje kukataa
 
Kwan ushauli wangu nakuomba umuache binti yako akapate mafunzo ya JKT, kiukweli ktk jamii imejengeka mentality yakwamba jeshini wanaenda kufa lakini ukweli nikwamba kule wanaenda kufundishwa uzarendo na uwajibikaji+ujasliamali, MLUHUSU BINTI YAKO AENDE
Wanaokufa jeshini ni wale wenye afya zisizo sawa,ndo maana before kozi yoyote ya kijeshi kuanza au kufunguliwa lazima wapimwe afya zao.
 
Sahihi kabisa,wengi wanaoliwa ni wale wasiotaka kufata taratibu za kijeshi,mfano wameambiwa kesho kuna mbio ndefu,yeye ataenda kwa daktari akafoji ugonjwa ili asikimbie, mwisho wa siku daktari naye ni mwanaume anampa mapumziko siku 2 ,na kuomba mzigo hapo hapo.ataanzaje kukataa
Na wanachakatwa sana tu
 
Kwa upande wangu sio rahisi kumruhusu binti yangu aende kwa mujibu wa sheria,kama atataka kwenda kujitolea sawa,mabinti wanaoenda mafunzo kwa Mujibu wa sheria,unyanyasaji wa kingono ni nje nje,ma services wanajisevia,ma kamanda wanajisevia kama njugu,na vile wanajua ni wapitaji basi balaa tupu,afadhali kidogo kwa kujitolea binti akijilegeza ndo analiwa lakini akikaza hakuna wa kumlazimisha,ila kwa mujibu ni mtihani sana
Sijakuelewa unaposema wakijitolea akikaza hawezi kunyanyaswa kingono, hata huyo wa mjibu sheria akiamua yeye kutonyanyaswa kingono hawezi kunyanyaswa kwanza kama unavosema yeye ni wa kupita hana cha kupoteza. Pia hebu msiwatishe saana wazazi ina maana hizi kambi zina vichaa tu hakuna wenye akili? Manufaa kwa JKT yapo sana ila kwa wengi tunadanganywa au kudanganyana. Nina mfano mzuri sana mtoto wa kakangu wa kike alienda JKT lakini wakati wanamaliza ile miezi mitatu yeye na wengine walichaguliwa kubaki jeshini, na kuletwa kambi moja hapa Dar ambayo sitoitaja na kuanza kulipwa posho wakati waakisubiri kupangiwa majukumu,
Baada ya muda waligawanywa kuna walipolekwa nje ya Tanzania kwenda kusoma kwenye vyuo vya kijeshi na yeye kabaki na kupelekwa Monduli ambapo alikuwa akisoma masomo yake ya kawaida ya degree na wakati huo huo akisoma masomo ya Kijeshi ni miongoni mwa walitunukiwa kamisheni april 17 na mh Samia. Utaninambia vipi hakuna manufaa hajazunguka na bahasha mkononi kutafuta kazi katika umri wa miaka 23 tayari ametunukiwa kamisheni, nyie endeleeni kuimba mapambio huku mtaani.
Unadhani huyo binti yako akiwa hapo nyumbani ndo yuko salama? miezi mitatu ijayo atakuwa chuo uko hostel utaenda naye? Mruhusu aende mpe mahusia na elimu ya kujitambua naamini atarudi salama salimini. Kuna watu wanadai wanatakwimu za watoto walioambukiwa VVU JKT ni uongo mtupu waziweke hizo takwimu ili ziwe msaada kwa wengine.
 
Sijakuelewa unaposema wakijitolea akikaza hawezi kunyanyaswa kingono, hata huyo wa mjibu sheria akiamua yeye kutonyanyaswa kingono hawezi kunyanyaswa kwanza kama unavosema yeye ni wa kupita hana cha kupoteza. Pia hebu msiwatishe saana wazazi ina maana hizi kambi zina vichaa tu hakuna wenye akili? Manufaa kwa JKT yapo sana ila kwa wengi tunadanganywa au kudanganyana. Nina mfano mzuri sana mtoto wa kakangu wa kike alienda JKT lakini wakati wanamaliza ile miezi mitatu yeye na wengine walichaguliwa kubaki jeshini, na kuletwa kambi moja hapa Dar ambayo sitoitaja na kuanza kulipwa posho wakati waakisubiri kupangiwa majukumu,
Baada ya muda waligawanywa kuna walipolekwa nje ya Tanzania kwenda kusoma kwenye vyuo vya kijeshi na yeye kabaki na kupelekwa Monduli ambapo alikuwa akisoma masomo yake ya kawaida ya degree na wakati huo huo akisoma masomo ya Kijeshi ni miongoni mwa walitunukiwa kamisheni april 17 na mh Samia. Utaninambia vipi hakuna manufaa hajazunguka na bahasha mkononi kutafuta kazi katika umri wa miaka 23 tayari ametunukiwa kamisheni, nyie endeleeni kuimba mapambio huku mtaani.
Unadhani huyo binti yako akiwa hapo nyumbani ndo yuko salama? miezi mitatu ijayo atakuwa chuo uko hostel utaenda naye? Mruhusu aende mpe mahusia na elimu ya kujitambua naamini atarudi salama salimini. Kuna watu wanadai wanatakwimu za watoto walioambukiwa VVU JKT ni uongo mtupu waziweke hizo takwimu ili ziwe msaada kwa wengine.
Ninajua nilichokiandika,huyo ndugu yako amesoma comb za sayansi na alijiandikisha mwenyewe kwa mapenzi yake kuendelea kubaki jeshini na alipobaki alipelekwa mgulani jkt,hata mimi binti yangu akiamua kwa hiari yake kwenda na aende.
 
Back
Top Bottom