Ras Cutty
Member
- Nov 12, 2010
- 42
- 10
Wadau wa JF ambao mnelewa mtueleweshe hivi huyu Balozi SEIF ambae ni makamu wa pili wa rais wa Zanzibar yeye ni mbunge wa bunge lipi?? maana ameteuliwa kuwa mbunge wa baraza la wawakilishi na tena juzi tumemuona akiwa anaapa kwenye bunge la Jamhuri ya Muungano kule mjengoni. wengine hatujaelewa hapo. Hivyo twaomba wadau wenye data au majibu ya hilo watuelimishe imekuaje au ndio mabadiliko ya katiba ya zenji au vipi??????:israel: