Apparent
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 220
- 110
Habari za muda huu wanajamii.
Naomba kufahamishwa ni wapi kwa Dar kuna vyumba vya kupanga ambavyo kodi ni 20elfu kwa mwezi,malipo ya miezi mitatu tu na unapanda gari moja hadi Ubungo ila isiwe Gongolamboto,Temeke,Tandale na viunga vyake vinavyofanana au Mbagala.
Nategemea kupewa majibu mazuri ili nianze safari ya kwenda kutafuta chumba eneo hilo muda huu.
Naomba kufahamishwa ni wapi kwa Dar kuna vyumba vya kupanga ambavyo kodi ni 20elfu kwa mwezi,malipo ya miezi mitatu tu na unapanda gari moja hadi Ubungo ila isiwe Gongolamboto,Temeke,Tandale na viunga vyake vinavyofanana au Mbagala.
Nategemea kupewa majibu mazuri ili nianze safari ya kwenda kutafuta chumba eneo hilo muda huu.