Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,979
Kabla ya CV niombe kufahamu tume ya uchaguzi ina ofisi yake tofauti na jengo walilojengewa juzi kabla ya uchaguzi 2020?
Lakini pia ningepata CV yao tuone wajumbe wake Wana uzoefu gani tofauti na kufanya kazi ofisi ya umma ikiwemo ofisi ya president?
Nauliza cv kwa sababu wanayofanya yanauzunisha, yanasikitisha na hata CCM kindakindaki wanaona hivyo, labda tatizo ni elimu, expossure au ukiritimba? Nini shida ndani ya Hawa watu?
Lakini pia ningepata CV yao tuone wajumbe wake Wana uzoefu gani tofauti na kufanya kazi ofisi ya umma ikiwemo ofisi ya president?
Nauliza cv kwa sababu wanayofanya yanauzunisha, yanasikitisha na hata CCM kindakindaki wanaona hivyo, labda tatizo ni elimu, expossure au ukiritimba? Nini shida ndani ya Hawa watu?