Jenchede JF-Expert Member Jul 22, 2014 238 495 Jun 8, 2021 #1 Habari za leo wanajukwaa. Poleni sana na majukumu. Naomba mwenye kumfahamu Daktari mzuri wa mifupa. Naomba atanipm. Shukrani
Habari za leo wanajukwaa. Poleni sana na majukumu. Naomba mwenye kumfahamu Daktari mzuri wa mifupa. Naomba atanipm. Shukrani
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,510 11,271 Jun 10, 2021 #2 Wa mifupa? au unamaanisha Daktari Wa Viungo? Pale Bochi ya Kimara Temboni yupo Specialist Wa Viungo yuko vizuri sana, naambiwa huwa anatokea MNH pale anakuwepo mida ya jioni.. Otherwise Kwa uhakika kabisa nenda tu Muhimbili, pale ni mwisho Wa matatizo.
Wa mifupa? au unamaanisha Daktari Wa Viungo? Pale Bochi ya Kimara Temboni yupo Specialist Wa Viungo yuko vizuri sana, naambiwa huwa anatokea MNH pale anakuwepo mida ya jioni.. Otherwise Kwa uhakika kabisa nenda tu Muhimbili, pale ni mwisho Wa matatizo.