figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Mke wa rafiki yangu anataka anipe dawa ya kuacha pombe nimuwekee mumewe yaani rafiki yangu kwenye pombe.ananibembeleza hadi imeshakua karaha.kisa akilewa anamsumbua na hatimizi malengo sababu ya pombe. Na huyo rafiki yangu ndo tunakunywa wote.sasa najiuliza, je huo si utakua usaliti?
2.mimi si ntakosa kampani ya bar?
3.akija kugundua mimi ndo nimempa dawa ya kuacha pombe wakati mimi bado nakunywa atajisikiaje?
mimi nipo njia panda.nifanyeje? mia
2.mimi si ntakosa kampani ya bar?
3.akija kugundua mimi ndo nimempa dawa ya kuacha pombe wakati mimi bado nakunywa atajisikiaje?
mimi nipo njia panda.nifanyeje? mia