Weka hyo dawa ya asiliAchana na hiyo mikitu Mkuu njoo kwenye asili huku kusiko na madhara.
Weka hyo dawa ya asiliAchana na hiyo mikitu Mkuu njoo kwenye asili huku kusiko na madhara.
Hapo ndo atachemka zaidi maana kwa hawa wanawake wa sasa ataishia kumtamkia maneno ya kumkatisha tamaa kama " yaani wewe huwezi kunifikisha bora tulale tu"Wewe una tatizo la kisaikolojia zaidi na sio tatizo la kimwili....nakushauri achana na dawa tafuta mwanamke utakaemwamini uwe muwazi kwake umuombe akusaidie kuovercome hilo tatizo
Njoo pm huku mkuu nikuelekezeWeka hyo dawa ya asili
Huo ndio ubinafsi mkuuBoss njoo inbox nitakuelekeza dawa buree kabisaaa
Zipo maduka dawa zipo za kuanzia 2000Hizo
erecto bei gani na zinapatikana wapi
Sema hapa hapaNi PM nikusaidie Inshu simple saana hiyo..... Panapo majaliwa ya Allah unapona kabisa
Kwan hapa kuna nn au ndio wale waleMkuu ondoa hofu nakupa huduma ya kwanza ukiona Mambo Safi ulete mrejesho nikuelekeze dawa .Naku PM
tatizo lako ilo lnatibka kama utakuwa tayali mimi nilisha kata tamaa ila nilipona bila ata miaWakuu mimi nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu. Nimejaribu kutumia dawa nyingi sana za kienyeji pamoja na vyakula bila ya mafanikio.
NImejaribu kutumia vumbi la congo pia limenitupa mkono.
Sasa nimebakisha mawili tu. Nimenza mazoezi takriban wiki ya pili sasa na naendelea nayo lakini bado hukuna dalili yoyote ila sitegemei kuacha.
Na la mwisho ni kujaribu kutumia hizi dawa mana hali imekua mbaya kijamii, heshima yangu ipo kwenye lowest point kabisa.
Naomba muongozo na effect zake niweze kuzielewa kabisa.
Nimekua na wasiwasi mkubwa juu hizi dawa mana nimeshasikia sana mitaani kama zishaua watu, na ndiomana mpaka leo bado nimekua nasitasita.
tatizo lako ilo lnatibka kama utakuwa tayali mimi nilisha kata tamaa ila nilipona bila ata mia
USILE VIAGRA ALAFU UKAENDA KULA CHAKULA CHA MOTO TUTAKUSAHAU HAPO HAPO
Kama unatumia usiongeze dozi kabisa fanya kidogo na ubust kwa mara ya kwanza upate confidence ila isiwe kila siku
Tunaomba mrejesho mkuu
Kwanin umeshindwa mkuu hapo jaribu tadanafil hospital kama wakikupima wakaona huna shida utapewa tadalafil kwa ajaili yakutibu Ed na kuongeza comfidancedah bado hali sio shwari, nimeshindwa kujaribu kwa hofu,
Kwani una umri gani Chief?dah bado hali sio shwari, nimeshindwa kujaribu kwa hofu,
35Kwani una umri gani Chief?
Jaribu erecto ya 50mg
Mkuu wewe vipi ushatoboa na ile dozi yako?Kwanin umeshindwa mkuu hapo jaribu tadanafil hospital kama wakikupima wakaona huna shida utapewa tadalafil kwa ajaili yakutibu Ed na kuongeza comfidance