sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,272
- 7,870
we jamaa bana , unaaikubali hiyo theory ? Kwamba kiungo upokitumia kina lege lege au kinaweza kupotea kabisa ,Yes mkuu, kama umepitia pitia Biology kuna theory inaitwa use and disuse inaelezea. Na kuna mjuba alileta nyuzi kuwa eti aivokua mtoto alikua anapenda kuivuta vuta so saivi stori za vibamia kwake anaona ni stori za kusadikika.
Mifano yao mingine et enzi hizo binadam alikua na mkia , sema ulikua hauna kazi na hautumiki mwisho wa siku ukapotea , yule dalwins alituingiza shaka