Naomba muongozo wa kusoma Bachelor ya uuguzi vyuo vya nje

Vee lovie

Member
Jul 31, 2021
74
115
Nimemaliza diploma ya uuguzi, nilitaka kuunganisha degree lakini matokeo mbaka sasa bado hayajatoka ya diploma na applications round ya 3 mwisho kesho. Msaada anaefaham vyuo Vizuri vya afya nchi za jiran, utaratibu ukoje, qualifications zikoje, na applications zinaanza/mwisho lini?. Napokea pia mawazo yenu kuhusiana na hili. Asante
 
Cha kufanya, ukipata matokeo yako ya mwisho, na ukishafahamu chuo unachopaswa kwenda kusoma, then unapaswa kwenda TCU kwa ajili ya Kupata No objection certificate, kuangalia kama chuo kimesajiliwa na unavigezo vya kusomea kozi hiyo husika, from there process zingine zinaendelea!
Kwa maelezo zaid nichek inbox
 
Cha kufanya, ukipata matokeo yako ya mwisho, na ukishafahamu chuo unachopaswa kwenda kusoma, then unapaswa kwenda TCU kwa ajili ya Kupata No objection certificate, kuangalia kama chuo kimesajiliwa na unavigezo vya kusomea kozi hiyo husika, from there process zingine zinaendelea!
Kwa maelezo zaid nichek inbox
Shukrani
 
Back
Top Bottom