Vee lovie
Member
- Jul 31, 2021
- 74
- 115
Nimemaliza diploma ya uuguzi, nilitaka kuunganisha degree lakini matokeo mbaka sasa bado hayajatoka ya diploma na applications round ya 3 mwisho kesho. Msaada anaefaham vyuo Vizuri vya afya nchi za jiran, utaratibu ukoje, qualifications zikoje, na applications zinaanza/mwisho lini?. Napokea pia mawazo yenu kuhusiana na hili. Asante