Hivi hiki chama kimekufa? Mbona hamnijibu? Mwanakijiji naomba gmail ya Zitto!
chama kilikufa siku nyingi, mmewapiga mawe hapa hadi wamekimbia. wao wanadhani ni wao peke yao ndio wana mabomu. Nakutafutia email ya zitto kwenye website ya parliament kama ameweka nikuwekee hapa.
Nitashukuru sana kwa msahada wako ila ile ya gmail ndiyo anayotumia kuwasiliana na wanachama hapa JF.
Nitashukuru sana kwa msahada wako ila ile ya gmail ndiyo anayotumia kuwasiliana na wanachama hapa JF.
Unaona hapa hawapo, wapo kwenye gmail.hiyo ya gmail siijui kwa kweli.
Unaona hapa hawapo, wapo kwenye gmail.
Unaona hapa hawapo, wapo kwenye gmail.
tunaweza kuwafuata hata huko huko kwenye gmail, tutafute link hiyo tuwafuate huko huko. teh teh teh teh masikini chadema.
ulijuaje kuwa anatumia gmail kuwasiliana na wana JF?
Mzee Mwanakijiji
JF Senior & Premium Member Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 9,633
Rep Power: 44
Thanks: 3,999
Thanked 4,492 Times in 1,940 Posts
Credits: 337,500
Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.
--------------------------------------------------------------------------------
Zitto angalia gmail yako...
__________________
Hoja Hujibiwa kwa Hoja!
Mazingaombwe ni sanaa na sayansi ya kuaminisha visivyoaminika e.g kauli za wanasiasa
TODAY NEWS TODAY!