Luther760
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 316
- 240
Wakuu natumai mko poa kabisa, kwa wale wadhaifu Mungu atawaponya. Kama kichwa kinavyo jieleza naomba kujuzwa kama member amesha wahi fanya manunuzi yeyote kwa njia hii. Utaratibu wake ukoje, maana nimeiona products zao nyingi ni cheap sana please mwenye ufaham na hii app atujuze, tusije tukaingia mkenge. Narudisha shukrani.