mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Naomba kujuzwa juu ya ufugaji mkubwa wa ng'ombe. Nahitaji kuwa na ng'ombe kama elfu moja na mia mbili.
Je, nitatakiwa kuwa na vibali vipi serikalini!?
Je, ng'ombe wanaotoa maziwa mengi ntapatia wapi mbegu yakee?
Na ni ukanda upi wa nchi yetu naweza kupata kwa gharama nafuu hekari 3600 !?
Je, nitatakiwa kuwa na vibali vipi serikalini!?
Je, ng'ombe wanaotoa maziwa mengi ntapatia wapi mbegu yakee?
Na ni ukanda upi wa nchi yetu naweza kupata kwa gharama nafuu hekari 3600 !?